Kiongozi wa upinzani nchini Uganda ameonya kuwa, wananchi wa nchi hiyo huenda wakafuata nyayo za Wamisri na Watunisia kuleta mabadiliko nc...
Asilimia 99 ya wapiga kura wanaunga mkono kujitenga na Sudan
Kwa mujibu wa matokeo ya awali ya kura za maoni yaliyotolewa na tume ya upigaji kura za maoni ya sehemu ya kusini mwa Sudan tarehe 30 kwen...
UM na Afrika lazima tuungane kuhakikisha matokeo ya uchaguzi yanaheshimiwa:Ban
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon leo ameelezea hatua ambazo amesema zitaongoza juhudi za kutatua mzozo wa kisiasa nchini...
Mandela aruhusiwa kutoka hospitali
Bw Nelson Mandela Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela ametolewa...
Waathirika wa mafuriko Pakistan wajenga upya maisha:IOM
Wakati huohuo miezi sita baada ya mafuriko kuikumba Pakistan idadi kubwa ya waliopoteza nyumba zao na tegemeo lao la kimaisha wam...
Ulinzi mkali hospitali alipo Mandela
Nelson Mandela na mkewe Graca Machel Hali ya usalama imeimarishwa nchini A...
Mpenzi wa jinsia moja auawa Uganda
David Kato Mwanaharakati wa kutetea haki za wapenzi wa jinsia moja wa Uga...
BBC yafunga Idhaa tano za World Service
Idhaa ya BBC ya World Service imetangaza mipango yake ya kufunga idhaa tano zinazotangaza kwa lugh...
Ahadi pekee hazitoshi kuimarisha afya ya wanawake na watoto asema mkuu wa UM
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amerejea msimamo wake wa kuimarisha afya ya wanawake na watoto . Ban Ki-moon Geneva Ban ames...
Kuongezaka kwa bei ya chakula kutaathiri pakubwa watu masikini: FAO
Bei za chakula duniani zinaongezeka jambo ambalo huenda likasababisha mtafaruku wa chakula kama uliotokea mwaka 2007/2008 limesema shirika ...
Familia ya rais wa Misri yatoroka, ghasia zazidi
Mwana wa kiume wa rais Husni Mubarak wa Misri, ambaye anatabiriwa kumrithi, amekimbilia Uingereza akiwa na familia yake huku maandam...
Maandamano makubwa ya kuipinga serikali yatokea nchini Misri
Maandamano makubwa ya kuipinga serikali yamefanyika tarehe 25 nchini Misri, ambapo baadhi ya waandamanaji walipambana na polisi, na kusa...
Ghailani wa Tanzania afungwa maisha
Mfungwa wa kwanza katika jela ya Guantanamo kushtakiwa kwenye mahakama ya kiraia, Ahmed Ghailani ...
Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ya Ujerumani
Maharamia wa Somalia wameteka nyara meli ya MV Beluga Nominations mali ya Ujerumani ikiwa na mabaharia wa nchi mbalimbali kwenye maji ya ...
UM wazindua kitabu kuhamasisha vijana kuhusu malengo ya milenia
Mashirika ya Umoja wa Mataifa yakiwemo shirika la maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP, shirika la mazao na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO p...
Global Fund yataka dola milioni 34 zirejeshwe kutoka nchi 4
Mfuko wa kimataifa Global Fund wa kupambana na ukimwi, kifua kikuu na malaria unadai kurejeshewa dola milioni 34 ambazo hadi sasa ...
Umoja wa Afrika wasifu ujenzi wa kituo cha mikutano
Ujumbe wa Kamati ya Umoja wa Afrika unaoongozwa na mwenyekiti wa umoja huo Bw. Jean Ping, umekagua ujenzi wa kituo cha mikutano kinachoj...
Uwanja wa ndege mjini Moscow walipuliwa
Uwanja wa ndege wa Domodedovo wa Moscow umetikisika baada ya kutokea mlipuko wa bomu ambapo msemaj...
China yasamehe asilimia 50 ya madeni ya ujenzi wa reli ya TAZARA
Naibu waziri wa biashara wa China Bw. Zhong Shan akiiwakilisha serikali ya China amesaini makubaliano na wajumbe wa serikali za Zambia na ...
Filamu ya usafirishaji haramu watoto yaonyeshwa:UNICEF
Filamu fupi iitwayo "not my life" yaani sio maisha yangu inayohusu unyonyaji na ukatili wa watoto imeanza kuonyeshwa jana kwenye ...
Mwaka 2010 ilighubikwa na joto sana katika historia: WMO
Kwa mujibu wa shirika la utabiri wa hali ya hewa duniani WMO mwaka 2010 ni mwaka ulioweka rekodi ya kuwa na joto sana sambamba na ule wa 2...
Umuhimu wa utalii Afrika umepewa kipaumbele: WTO
Katika mwaka wa pili mfululizo kongamano la uwekezaji katika utalii barani afrika linalofanyika katika maonyesho ya utalii ya kimataifa FI...
Hu na Obama waahidi kuimarisha uhusiano
Rais wa Uchina Hu Jinato na Rais wa Marekani Barack Obama Rais Barack Obam...
Matokeo ya kura ya maoni Sudan yanakusanywa:Mkapa
Matokeo ya kura ya maoni ya kujitenga ama la kwa Sudan Kusini yanakusanywa pamoja hivi sasa kutoka vituo 3000 . Benjamin Mkapa Jo...
Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga akatisha ziara yake Cote d'Ivoire
Waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga akatisha ziara yake nchini Cote d'Ivoire Kupatikana suluhu katika mzozo wa kisiasa Cote d'Iv...
Rais Obama aongoza kumbu kumbu ya Martin Luther King
Rais wa Marekani Barack Obama anaongoza sherehe za siku ya Martin Luther King katika sikukuu ya kitaif...
Jeshi la Congo 'liliongoza ubakaji'
Mwanajeshi wa Congo Kamanda wa jeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ...
Jopo la UM la kungalia kura ya maoni Sudan laelezea kuridhika kwake na zoezi la upigaji kura
Jopo la Umoja wa Mataifa lililotwikwa jukumu la kuangalia zoezi la kura ya maoni ya kuamua hatma ya eneo la Sudan Kusini limeelezea kuridh...
Uwekezaji wa kigeni ulipungua mwaka 2010: UNCTAD
Shirika la biashara na maendeleo la Umoja wa Mataifa UNCTAD linasema kuwa uwekezaji wa kigeni ulipungua mwaka uliopita wa 2010. Uwekezaji ...
WMO yaelezea kwa nini mafuriko Australia,Sri Lanka na Brazil
Shirika la kimataifa la hali ya hewa WMO linasema kuwa mafuriko yaliyoshuhudiwa nchini Australia yalisababishwa na adhari za msimu wa La N...
Sarafu moja Afrika Mashariki yajadiliwa
Mazungumzo yanaendelea Arusha, makao makuu ya Jumuia ya Afrika mashariki nchini Tanzania, juu ya ...
Mafuriko Brazil wengi wapoteza maisha
Watu takriban mia mbili thelathini na saba, wamefariki dunia Kusini Mashariki mwa Brazil katika k...
Mafuriko ya Australia; maelfu wayahama makaazi yao
Maelfu ya watu wameanza kuondoka katika vitongoji vya mji wa Brisbane, ambao ni wa tatu kwa ukubwa nchini Australia, huku wengine wakiku...
UNICEF yapongeza utulivu na amani katika kura ya maoni Sudan
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limepongeza hatua ya amani na utulivu iliyojitokeza katika kura ya maoni inayoendel...
Kura za Sudan kusini zafikia 60%
Wapiga kura ya maoni Sudan kusini Januari 9, 2011 Chama tawala cha kusini ...
Huenda upembe wa Afrika ukawa ngome ya makundi ya kigaidi:Ban
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kutoa msaada wa dharura wa kijeshi na usaidizi mwingine kwa ...
Huku upigaji kura ukiendelea ghasia zalipuka Abyei-Sudan
Askari wa Sudan Kusini akisindikiza msafara wa watu wanaorudi kutoka kaskazini kuelekea Abyei. Maafisa wa Suda...
Odinga: Mapinduzi ya kijeshi yatarejea Afrika
Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga amesema kuwa mgogoro wa kisiasa ambao umeshindwa kutatuliwa na Ivory Coast yumkini ukadumaza na kureje...
Mtaalamu wa haki za binadamu azuru India
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa anayehusika na kuchunguza hali watetesi wa haki za binadamu Margaret Sekaggya ameanza ziara yake...
Wanajeshi 12 wambaka msichana Uganda
Jeshi la Uganda la UPDF limeanzisha uchunguzi dhidi ya wanajeshi wake 12 pamoja na mafisa wat...
Safari ya Hillary Clinton katika nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi
Hillary Clinton Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani amewasili katika eneo la Mashariki ya Kati kwa shabaha ya kufuatilia siasa za...
Upigaji kura za maoni kusini mwa Sudan waanza
Upigaji kura za maoni kusini mwa Sudan umeanza saa mbili asubuhi ya leo tarehe 9. Upigaji kura huo utakaodumu kwa wiki moja, utaamua kama...
Kura Sudan Kusini: Umoja au kujitenga?
Wanaharakati wa Sudan Kusini wakitoa ishara za kutaka kujitenga wakati Omar Al Bashir alipofanya ziara. Kura ...
Ndege ya Iran Air yaanguka milimani
Idadi ya watu 77 wameuawa na wengine 35 wamejeruhiwa katika ajali ya ndege iliyotokea kutokana na hali mbaya ya hali ya hewa, kaskazini-ma...
"Chekechea" wa miaka 9 ajifungua mtoto
KONA za mji wa Mbeya zimezizima kwa minong’ono baada ya kuibuka kwa taarifa za mtoto wa kike mwenye umri wa miaka tisa kujifungua mtoto am...
Wahamiaji wa Kiafrika wafa maji katika bahari ya Shamu
Walikuwa njiani wakielekea nchini Yemeni wakati boti yao ilipozama nje ya pwani ya nchi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa ya wizara ya ndani ya ...
China yapenda kushirikiana na Umoja wa Ulaya kukabiliana na msukosuko wa uchumi
Naibu waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang amesema China inapenda kushirikiana na Umoja wa Ulaya katika kukabiliana na msukosuko wa uchumi...
Johannesburg-Afrika Kusini yaunda kikundi maalumu ili kushughulikia wahamiaji wa Zimbabwe
Idara kuu inayoshughulikia mambo ya wahamiaji ya wizara ya mambo ya ndani ya Afrika Kusini tarehe 7 ilitoa taarifa, ikisema imeanzisha kik...
Mkuu wa haki za binadamu alaani mauji ya kidini duniani kote
Kamishina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Navi Pillay leo amelaani mashambulio ya karibuni yanayolenga makundi ya kidini kati...
Mke Wa Dr Slaa Alivyojeruhiwa Na Polisi......
......Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA Dk.Wilbroad Slaa,Josephine Slaa akiwa ametapakaa damu baad...
Shirikisho la soka Asia kupambana na njaa:FAO
Shirikisho la soka la Asia AFC litazitoa mechi tatu za kandanda kwa ajili ya vita dhidi ya njaa na umasikini wakati wa kombe la Asia. Mpi...
China yashindwa kupiga marufuku uvutaji wa sigara ndani ya nyumba
China ikiwa nchi iliyosaini Mkataba wa Shirika la Afya Duniani WHO unaohusu Udhibiti wa Matumizi ya Tumbaku, imeshindwa kuzuia uvutaji wa...