Searching...
Tuesday, January 18, 2011

Uwekezaji wa kigeni ulipungua mwaka 2010: UNCTAD

Shirika la biashara na maendeleo la Umoja wa Mataifa UNCTAD linasema kuwa uwekezaji wa kigeni ulipungua mwaka uliopita wa 2010.
Uwekezaji wa kigeni
Uwekezaji wa kigeni
Hata hivyo nchi zinazoendelea zilishuhudiwa kuongezeka kwa uwekezaji wa kigeni. Mataifa ya Asia na Amerika kusini yalishuhudia uwekezaji mkubwa huku nchi za bara ulaya zikishudiwa kiwango kidogo cha uwekezaji wa kigeni. UNCTAD inasema kuwa kumeshuhudiwa mabadiliko katika kujiunga na uwekezaji wa kigeni tangu kuanza kushuhudiwa kwa hali mbaya ya uchumi duniani . Hata hivyo linasema kuwa uwekezaji huo unatarajiwa kuongezeka mwaka huu wa 2011.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!