Bw. Li Keqiang aliyasema alipokuwa na mazungumzo na kansela wa Ujerumani Angela Merkel. Amesema hali halisi inaonesha kuwa China na Ujerumani zinaweza kuwa wenzi wanaotegemeana, na bado kuna nguvu kubwa ambayo haijatumika ipasavyo katika kuendeleza uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Bibi Angela Merkel amesema Ujerumani inapenda kufanya mazungumzo na China katika mambo ya siasa, uchumi, diplomasia, sayansi, uhifadhi wa mazingira na jamii, na itafanya kazi kubwa katika kuuhimiza Umoja wa Ulaya uitambue hadhi ya uchumi wa soko huria ya China.
0 comments:
Post a Comment