......Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA Dk.Wilbroad Slaa,Josephine Slaa akiwa ametapakaa damu baada ya kujeruhiwa vibaya kwa kipigo na polisi wakati wakivunja maandamano ya viongozi na wanachama wa chama hicho yaliyofanyika mjini Arusha.Katika maandamano hayo watu kadhaawalijeruhiwa baada ya kupigwa na palisi wa kutuliza ghasia.
0 comments:
Post a Comment