Searching...
Friday, January 21, 2011

Filamu ya usafirishaji haramu watoto yaonyeshwa:UNICEF

Filamu fupi iitwayo "not my life" yaani sio maisha yangu inayohusu unyonyaji na ukatili wa watoto imeanza kuonyeshwa jana kwenye kituo cha lincolin hapa New York.
Watoto Afrika
Watoto Afrika
Filamu hiyo iliyorekodiwa katika mabara matano duniani inaangalia masuala ya usafirishaji haramu wa watoto, kutimiwa kama watumwa wa ngono na utumikishwaji haramu wa watoto.
Filamu ya not my life imemshirikisha mkurugenzi wa mipango wa shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF Dr Nicholas Alipui na dr Susan Bissell wa UNICEF mkuu wa masuala ya kuwalinda watoto wanaoelezea masuala muhimu kuhusu haki za watoto. Jason Nyakundi na taarifa kamili.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!