Searching...
Thursday, January 27, 2011

Kuongezaka kwa bei ya chakula kutaathiri pakubwa watu masikini: FAO

Bei za chakula duniani zinaongezeka jambo ambalo huenda likasababisha mtafaruku wa chakula kama uliotokea mwaka 2007/2008 limesema shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO.
Bei za chakula kuongezeka
Bei za chakula kuongezeka
Nchi ambazo ni wazalishaji wakubwa wa chakula wamearifiwa kutaka kuanzisha masharti ya usafirishaji nje bidhaa za kilimo ili kulinda masoko. Lin Sambili na maelezo zaidi.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!