Naibu mwenyekiti wa Umoja wa Afrika amesema Umoja wa Afrika unakiona kituo hicho kuwa ni zawadi yenye thamani kubwa ya wananchi wa China kwa wananchi wa Afrika.
Ujenzi wa kituo hicho cha mikutano ni moja kati ya miradi muhimu ya China inayotekelezwa barani Afrika, na kinatarajiwa kumalizika mwishoni mwa mwaka 2011
0 comments:
Post a Comment