Rais FIFA Sepp Blatter Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp B...
Maafa ya tsunami, tetemeko la ardhi na mlipuko wa volkano ya Indonesia
Mpaka sasa maafa ya tsunami na tetemeko la ardhi yaliyotokea nchini Indonesia yamesababisha vifo vya watu 272, na wengine zaidi ya 400 haw...
Kilimo lazima kizingatie mabadiliko ya hali ya hewa:FAO
Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO imetoa wito kwa kilimo cha nchi zinazoendelea kwenda sambasmba na hali ...
Maafisa wa Haiti wasema kipindupindu kinazidi kusambaa
Mgonjwa wa kipindupindu Haiti akihudumiwa na ndugu yake. Maafisa wa afya huko Haiti wanasema mlipuko wa kipindupindu...
Tariq Aziz sasa ahukumiwa kifo
Tariq Aziz Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Iraq, Tariq Aziz amehukumi...
Wanawake wanaendelea kuwa na jukumu muhimu katika ulinzi wa amani
Wanawake wanaendelea kuwa na jukumu muhimu katika juhudi za kuleta amani amesema Bi Michelle Bachelete mkuu wa kitengo kipya cha Umoja wa ...
Kesi ya Ghailani huwenda ikamalizika mapema
Naibu mwendesha mashtaka wa Marekani Nicholas Lewin, fakitoa hoja yake kwenye kesi ya Ahmed Khalfan Ghailani, kusho...
China yafurahia ushirikiano wa kimkakati kati ya UN na AU
China imeeleza kuunga mkono juhudi za Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika kuanzisha na kuendeleza ushirikiano wa kimkakati. Balozi wa China...
Shemeji yake Blair asilimu baada ya kuzuru Haram ya Bibi Maasumah Qum
Lauren Booth dada wa Cherie Blair mke wa Tony Blair Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza amesilimu mara baada ya kuzuru Haram ya Bibi Fati...
Watu 7 wafariki kwa kukanyagwa kwenye kandanda Kenya
Mashabiki wa Gor Mahia wakati wa mchuano na timu ya AFC Leopard. Mashabiki wasiokua na tiketi walijaribu kutumia nguvu k...
Rooney haondoki Trafford
Rooney amebadilisha nia na kuamua kuendelea kuichezea Man U Baada ya kuzoz...
Waganda 20 wamekufa kutokana na ugonjwa wa tekenya miezi 2 iliyopita
Wizara ya Afya nchini Uganda imesema kuwa takriban raia wake 20 wamefariki dunia katika kipindi cha miezi 2 iliyopita kutokana na ugonjw...
Katika kuadhimisha miaka 65 UM waahidi juhudi za kuleta amani na maendeleo
Jumapili Oktoba 24 Umoja wa Mataifa unaadhimisha miaka 65 tangu kuanzishwa taarehe kama hiyo mwaka 1945. Makao makuu ya UM New Y...
Watu zaidi ya elfu 30 waathirika na kipindupindu Nigeria
Takriban watu 1,555 wameripotiwa kuaga dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu na wengine 38,173 kuambukizwa ugonjwa huo nchini Nigeria ....
Mkutano wa baraza la haki za binadamu wajadili kuhusu suala la haki za binadamu
Mkutano wa tatu wa baraza la haki za binadamu la Beijing umefanyika tarehe 20 Oktoba mjini Beijing, na masuala yanayozungumzwa zaidi ni ji...
Baraza la usalama laelezwa kuhusu changamoto na matumaini kwa nchi ya Somalia
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa leo limejadili hali ya usalama na machafuko yanayoendelea nchini Somalia. Ban Ki-moon Katika ki...
Bunge la Kenya lachunguza wizara ya kigeni kwa ubadhirifu
Rais Mwai Kibaki akihutubia kikao cha ufunguzi cha bunge la Kenya Bunge la Kenya linatarajiwa kuendelea na kikao cha ...
Watu bilioni mbili kuwa na mtandao mwisho mwa 2010:ITU
Takwimu mpya za kitengo cha mawasiliano cha kimataifa ITU zilizochapishwa leo zimeonyesha kwamba idadi ya watu wanaotumia mtandao ...
Akiwa barani Ulaya Ban amesisitiza haki kwa wote na kuonya juu ya siasa za kibaguzi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon akihutubia bunge la muungano wa Ulaya hii leo amesema Umoja wa Mtaifa na muungano huo ni washi...
Mkapa aonyesha wasiwasi wake kuelekea upigaji kura ya maoni Sudan Kusini
Timu maalumu iliyoundwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa upigaji wa kura za maoni eneo la Sudan Kusin...
Kiongozi wa Upinzani Rwanda Mahakamani
Ingabire amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za uhaini Kiongozi wa Chama cha...
Ethiopia: Fedha za misaada zatumiwa kununua wafuasi kisiasa
Raia wa Ethiopia wengi wanaishi katika hali ya umasikini na hutegemea misa...
UN: Bado watu bilioni 1 ulimwenguni wanakabiliwa na baa la njaa
Ulimwengu leo hii unaadhimisha Siku ya Chakula Duniani, katika hali ambayo Umoja wa Mataifa umesema bado zaidi ya watu bilioni 1 kote du...
FAO inatoa wito wa kuongeza uzalishaji chakula duniani
Mkulima wa Afrika kusini “Kuungana dhidi ya Njaa” ndio kauli mbiu iliyochaguliwa mwaka huu kuadhimisha siku ya chak...
Watanzania watoa ushahidi katika kesi ya Ghailani.
Kesi ya mtuhumiwa wa ugaidi ikiendelea huko New York. “Ilikuwa kishindo kikubwa kuliko vyote nilivyopata kusiki...
Ujerumani yapata kiti Baraza la Usalama.
Waziri wa mambo ya nchi za nje Guido Westerwelle kwenye Umoja wa mataifa. Yasema itatoa mchango wake kama inavyotakikana Baada ya Kam...
WHO inahofia idadi ya watoto wanaoathirika na vita Somalia
Shirika la afya duniani WHOlimeelezea hofu yake kuhusu ongezeko la idadi ya watoto wanaojeruhiwa katika vita mjini Moghadishu Somalia. W...
Kongamano la maendeleo afrika limeanza rasmi Addis Ababa
Kongamano la saba la maendeleo barani Afrika limefunguliwa rasmi hii leo kwenye mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa. Kongamano la m...
Idadi ya wahamiaji yapungua katika nchi tajiri
Kwa takriban miongo mitatu kuhama kutoka nchi maskini kwenda nchi tajiri ...
Mke wa mshindi wa tuzo ya Nobel ya amani awekwa kizuizini.
Mke wa mshindi wa mwaka huu wa tuzo ya amani ya Nobel Liu Xiaobo, bibi liu Xia amezuiliwa nyumbani kwake mjini Beijing. Msemaji wa Shi...
Kenya yawafukuza waalimu kwa kuharibu watoto
Mwanafunzi wa shule moja Kenya akifanya uchoraji. Maafisa wa Kenya wanasema zaidi ya waalimu 1,000 wamefukuzwa kazi ...
Mawaziri wa fedha wa Afrika waridhika na mkutano wa Benki Kuu ya Dunia
Uhuru Kenyatta, waziri wa fedha wa Kenya kwenye mkutano wa Benki Kuu ya Dunia Wshington Dc, Oct, 2010. Mawaziri wa F...
Mkuu wa benki atupwa jela Nigeria
Sarafu ya Nigeria - Naira Cecilia Ibru, ambaye alikuwa mkurugenzi mkuuwa benki ya Oceanic, alikiri makosa matatu k...
China yatoa msaada wa dawa za malaria kwa Uganda
Tarehe 8 China ilitoa msaada wa dawa za malaria kwa Uganda. Balozi wa China nchini Uganda Bw. Sun Heping na waziri wa afya wa Uganda Bw. ...
China itapanua wigo wa ushirikiano na nchi za Afrika
China itapanua wigo wa ushirikiano na nchi za Afrika ili kutimiza maendeleo ya pamoja ya pande hizo mbili. Hayo yamesemwa na maofisa wa Ch...
Kesi ya Mtanzania yaahirishwa NY
Picha ya zamani ya Ahmed Khalfan Ghailani, Mtanzania anayekabiliwa na kesi mjini New York. Kesi ya Mtanzania Ahmed K...
UN yasisitiza kiongozi wa waasi anayekabiliwa na tuhuma za kunajisi watu Congo ametiwa nguvuni
Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesisitiza kuwa kiongozi wa kundi la waasi wa Mai Mai Luteni Kanali May...
Watu waelimishwe kuhusu usafirishaji haramu wa watu:IOM
Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM linaadhimisha mwaka wa tano wa wiki ya kuelimisha kuhusu usafirishaji haramu wa watu nchini ...
Wadau wa maendeleo wanataka Global Fund itunishwe ili kufikia malengo ya milenia
Jumuiya ya kimataifa ambayo ni wadau wa kupigia chepuo malengo ya maendeleo ya milenia wametoa wito wa kutunisha mfuko wa kimataif...
Gaidi ahukumiwa maisha jela
Taswira ya Faisal Shahzad aliyejaribu kulipua mabomu huko Times Square M’marekani mwenye asili ya Pakistan, aliyejaza milipu...
Indonesia: Ajali ya treni yawaua 30
Ajali ya treni Indonesia Treni moja ya safari za usiku imegongana na nyi...
FIFA yaisimamisha Nigeria
Shirikisho la soka duniani FIFA limeisimamisha kwa muda Nigeria kushirik...
Ujumbe wa baraza la usalama kuzuru nchini Uganda na Sudan
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa leo limekutana kujadili masuala yatakayomulikwa katika mwezi huu wa Oktoba ambapo Uganda ndiye Rais w...
Leo ni siku ya kimataifa ya makazi: miji bora, maisha bora
Leo ni siku ya kimataifa ya makazi na mwaka huu kauli mbiu ni miji bora , maisha bora, ujumbe unaokwenda sawia na ule wa maonesho ...
Mo Ibrahim yaelezea utawala bora Afrika
Mo Ibrahim, muanzilishi wa Mo Ibrahim Foundation, right, akizungumza na Kofi Annan, katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Matai...
Mabaki ya sanamu la Farao yapatikana Misri.
Sanamu la mfalme Ahmenhotep III wa zamani Misri ambalo mabaki yake yamegunduliwa kusini mwa nchi. Wataalam wa mambo y...
Maandamano ya wananchi wa India wakilalamikia michezo ya madola
Maelfu ya wananchi wa India wameandamana mjini New Delhi kwa siku ya pili mfululizo wakitaka isusiwe michezo ya jumuiya ya madola itakayof...