wakimbizi wakisomali Kenya imeufunga mpaka kati yake na Somalia wakati ambapo watu wanapojaribu kukimibia njaa kusini na kati kati mwa Som...
Mashambulizi yaliyotokea nchini Norway ni "msiba wa taifa"
Waziri Mkuu wa Norway Bw Jens Stoltenberg amesema mashambulizi yalitokea nchini humo ambayo yamesababisha vifo vya karibu watu 91 ni msiba w...
Shamsi Vuai Nahodha: Vitambulisho vya taifa kuanza kutolewa mwaka huu
Serikali ya Tanzania imesema kuwa, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa inatarajia kuanza kutoa vitambulisho vya taifa kwa awamu ya kwanza mwi...
Kasumba Inapitia Afrika Mashariki
Ripoti ya Umoja wa Mataifa inasema kuwa wanaofanya magendo ya mihadarati Afrika sasa wanapitia Afrika Mashariki, kwa sababu ya vikwazo vingi...
Watu 38 wafariki katika ajali ya reli nchini China
Idara ya reli ya Shanghai imesema, sehemu ya reli ya mji wa Wenzhou mkoani Zhejiang China iliyotokea ajali tarehe 23 kimsingi inafanya...
Benki kuu ya Sudan yatoa rasmi sarafu mpya
Benki kuu ya Sudan tarehe 24 imetoa rasmi sarafu mpya kwa benki mbalimbali ili kuzitumia badala ya sarafu zinazotumika sasa. Hii ni mara y...
TANZANIA YAPIGIA DEBE KISWAHILI UN
TANZANIA imeitaka Idara ya Habari na Mawasiliano ya Umma ya Umoja wa Mataifa (UN) kuhakikisha kuwa inaongeza idadi ya waandishi katika ...
Umoja wa Mataifa kupeleka misaada Mogadishu
Mtoto amekaa anasubiri chakula Shirika la U...
Ferguson:Nimeridhika na wachezaji kwa sasa
Furguson ametosheka na wachezaji Kocha wa...
SIKU MKURUGENZI MKUU WA TOLICHOWKI HAPA HYDERABAD ALIPOAGWA RASMI KUREJEA NYUMBANI TANZANIA
Mkurugenzi mkuu wa tolichowki hapa mjini hyderabad INDIA Mh.MUSTAFA SAID a.k.a Matata ama tata boy au B.I.G ukipenda akiagwa rasmi tayari kw...
Somalia ndio nchi hatari kabisa duniani
Kamishna wa Wakimbizi wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres Umoja wa Mataifa umesema Somalia ni eneo lenye janga kubwa kabisa la kibina...
Watu 110 wahofiwa kufariki kwenye ajali ya meli nchini Russia
Habari mpya kutoka kwa shirika la habari la Reuters zinasema, watu wapatao 110 wamehofiwa kufariki dunia baada ya meli walimokuwa wakisafi...
UM kuendelea kulisaidia bara la Afrika kuwawezesha vijana:Migiro
Asha Rose Migiro na Flora Nducha Umoja wa Mataifa umesema utaendelea kulisaidia bara la Afrika kutimiza malengo ya kulijenga vyema taifa la...
WHO yaripoti mkurupuko ya Kipundupindu na Surua nchini DRC
mama na mwanae mgonjwa Shirika la afya duniani WHO limeripoti mkurukupo wa ugonjwa wa surua na kipindupindu kwenye Jamhuri ya Kidemokrasia ...
Mpango wa kuijumuisha Sudan Kusini kwenye Umoja wa Mataifa waanza
Rais Salva Kiir wa Jamhuri ya Sudan Kusini anaonyesha nakala ya katiba ya muda ya taifa yake mpya Mpango ulio na lengo la kujumuishwa kwa t...
Ghasia mjini Karachi, Pakistan
Wanajeshi wa mgambo wa Pakistan wamedhibiti baadhi ya mitaa ya mji wa Karachi -- mji mkuu wa biash...
Mfumko wa bei umezidi Uchina
Bei ya chakula kupanda nchini Uchina kumezidisha mfumko wa bei kufikia kiwango kikubwa kabisa katik...
Sudan Kusini nchi huru
Maelfu ya wananchi wa Sudan Kusini wamekusanyika kushuhudia kupandishwa kwa bendera mpya ya nchi ...
Serikali ya Tanzania yakiri kuweko uhaba wa katiba ya Jamhuri ya Muungano
Serikali ya Tanzania imekiri kuwa, kuna uhaba mkubwa wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwamba, wananchi wengi hawana na ha...
Nchi za Afrika zapiga hatua kwenye masuala ya elimu
Waziri wa Elimu nchini Kenya Prof Sam Ongeri Kutafuta njia za kumhakikishia kila mmoja elimu ndiyo ajenda kuu inayozungumziwa kwenye mkuta...
Bei ya nafaka yapungua huku bei ya mahindi ikisalia kuwa juu
Shirika la kilimo na mazao la Umoja wa Mataifa FAO limesema kuwa bei za nafaka zilipungua kidogo kwenye masoko ya kimataifa mwezi Juni mwa...
Biashara zafungwa Uganda siku ya pili
Wafanya biashara katika mji mkuu wa Uganda, Kampala wamefunga maduka yao kwa siku ya pili mfululiz...
Simba yatinga fainali
Simba ya Tanzania Klabu ya soka ya Simba ya Tanzania imeingia fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashar...
Gabon kuanzisha mafunzo ya Kiswahili mashuleni
Tanzania imeombwa kuisaidia Gabon kubuni, kuanzisha na kusimamia mitaala inayofaa kuanzisha ufundishaji wa lugha ya Kiswahili katika shu...
Utapia mlo unazidi Pembe ya Afrika
Mkuu wa shughuli za misaada ya dharua ya Umoja wa Mataifa, Lady Amos, ametoa wito kuchukuliwe hatu...
AU haitomkamata Gaddafi
Umoja wa Afrika, AU, umesema kuwa mataifa yanachama hayatofuata amri ya Mahakama ya Uhalifu ya Ki...
Kenya yaitaka AU kuimarisha usalama mashariki mwa Afrika
Rais Mwai Kibaki wa Kenya ameutaka Umoja wa Afrika (AU) ujitahidi kuhakikisha kwamba amani inapatikana katika nchi za Sudan na Somalia. ...
Uganda na Tanzania kuimarisha miundo mbinu yao
Mradi wa pamoja wa kuimarisha miundombinu itakayounganisha Uganda na Tanzania unatarajiwa kugharimu dola bilioni 3. Taarifa ya Wizara ya...
India mbioni kudhibiti idadi ya watu
Ongezeko kubwa la idadi ya watu nchini India imewalazimu maafisa wa Afya kuanza kampeni mpya ya mpa...
Strauss-Khan aachiwa bila dhamana
Aliyekuwa mkuu wa shirika la fedha duniani, IMF Dominique Strauss-Khan ameachiwa huru baada ya kup...