WHO yaripoti mkurupuko ya Kipundupindu na Surua nchini DRC
Ugonjwa wa surua unaripotiwa kusambaa kwenye mikoa saba mashariki mwa DRC huku ule wa kipundupindu ukiripotiwa kwenye mkoa wa Kisangani ambapo umesambaa hadi mjini Kinshasa ukipitia mto Congo. Tarik Jasarevic kutoka WHO anasema kuwa kwa sasa dola milioni 9 zinahitajika kugharamia kampeni za chanjo ili kuweza kukabilina na ugonjwa wa Surua.
0 comments:
Post a Comment