
Kwa ujumla makadirio ya bei ya chakula ya FAO yaliongezeka kwa asilimia moja mwezi uliopita huku makadirio ya bei ya sukari yakiongezeka kwa asilimia 14 kati ya mwezi wa Mei na Juni wakati ambapo uzalishaji wa sukari nchini Brazil ambaye ndiye mzalishaji mkubwa wa sukari ukitabiriwa kushuka .Wakati huohuo matumizi ya nafaka mwaka 2011 n1 2012 yanatabiriwa kuongezeka kwa asilimia 1.4 hadi tani milioni 2,307 ikiwa ni tani milioni tano zaidi ya zilizotabiriwa.
0 comments:
Post a Comment