Habari mpya kutoka kwa shirika la habari la Reuters zinasema, watu wapatao 110 wamehofiwa kufariki dunia baada ya meli walimokuwa wakisafiria kuzama katika mto Volga, Russia.
Wizara ya dharura ya Russia imesema watu 185 walikuwa kwenye meli hiyo. Rais Dmitry Medvedev wa Russia ameamuru kuundwa kwa jopo kuchunguza ajali hiyo.
Wizara ya dharura ya Russia imesema watu 185 walikuwa kwenye meli hiyo. Rais Dmitry Medvedev wa Russia ameamuru kuundwa kwa jopo kuchunguza ajali hiyo.
0 comments:
Post a Comment