Searching...
Saturday, July 30, 2011

Mamia ya Wasomali wanaokimbia njaa watembea kwenda Kenya


wakimbizi wakisomali
Kenya imeufunga mpaka kati yake na Somalia wakati ambapo watu wanapojaribu kukimibia njaa kusini na kati kati mwa Somalia kwa miguu. Kambi ya Daadab ambayo kwa sasa ni makao ya wakimbizi 360,000 inawapokea wakimbizi zaidi.
Msemaji wa IOM Jumbe Omari Jumbe anasema kuwa mamia ya wasomali waliochoka wako kwenye barabara ya kutoka mji ulio kwenye mpaka wa Liboi kwenda kambi ya Daadab

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!