Kenya imeufunga mpaka kati yake na Somalia wakati ambapo watu wanapojaribu kukimibia njaa kusini na kati kati mwa Somalia kwa miguu. Kambi ya Daadab ambayo kwa sasa ni makao ya wakimbizi 360,000 inawapokea wakimbizi zaidi.
Msemaji wa IOM Jumbe Omari Jumbe anasema kuwa mamia ya wasomali waliochoka wako kwenye barabara ya kutoka mji ulio kwenye mpaka wa Liboi kwenda kambi ya Daadab
0 comments:
Post a Comment