Mkurugenzi mkuu wa tolichowki hapa mjini hyderabad INDIA Mh.MUSTAFA SAID a.k.a Matata ama tata boy au B.I.G ukipenda akiagwa rasmi tayari kwa kurejea Tanzania baada ya kumaliza masomo yake hapa hyderabad ilikuwa ni shamrashamra iliyoje sababu alikuwa mtu wa watu sana tunakutakia kiila la kher kaka katika maisha mapya baada ya shule....!!
Hii ilikuwa picha ya pamoja kwa wana mji wa tolichowki mjini Hyderabad wa katikati mwenye shati jeusi ndie Mkurugenzi mwenye Bonge a.k.a Matata ama tata boy
0 comments:
Post a Comment