
Polisi wa Norway wamesema idadi ya vifo kwenye shambulizi la ufyatuaji risasi lililotokea kwenye kisiwa cha Utoeva imeongezeka na kufikia 84, na mlipuko uliotokea mjini Oslo umesababisha vifo vya watu 7.
Habari zinasema mtu mmoja aliyekuwa amevaa sare ya polisi na aliyekuwa na kitambulisho cha polisi alikwenda kwenye kisiwa kimoja kidogo na kuanza kuwapiga watu risasi, saa mbili baada ya mlipuko kutokea katika jengo la serikali mjini Oslo
0 comments:
Post a Comment