Viongozi wa Afrika katika mkutano wa AU Kampala Waziri mdogo wa wizara ya m...
'Polisi wauaji' mahakamani Misri
Kesi ya polisi wawili wa Misri wanaoshtakiwa kwa kufanya ukatili na kusababisha kifo cha mtu mwenye umri wa miaka 28 mwezi mmoja uliopota im...
Mkutano wa AU waanza kwa wito dhidi ya ugaidi
Vifaru vya walinzi wa amani wa Umoja wa Afrika katika mitaa ya Mogadishu, Somalia. ...
Kipindupindu yaripuka Cameroon, watu 77 wafariki dunia
Wizara ya Afya ya Cameroon imetangaza kuwa takriban watu 77 wamefariki dunia kufuatia mripuka wa maradhi ya kipindupindu nchini humo. Taar...
11 wafariki dunia baada ya kunywa pombe yenye sumu nchini Kenya
Habari kutoka Nairobi mji mkuu wa Kenya zinasema kuwa watu 11 wamefariki dunia huku wengine kadhaa wakipoteza uwezo wao wa kuona baada ya k...
Kuwekeza kwa wanawake kuna faida kubwa kwa kizazi hiki na kijacho:Migiro
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Asha Rose Migiro, jana amehutibia mkutano wa Umoja wa Afrika unaofanyika mjini Kampala Ugand...
Viongozi wa AU wawasili Uganda
Kiongozi wa Libya Moammar Gadhafi akiwasili Uganda tayari kwa mkutano wa Umoja wa Afrika. ...
Mkutano wa kimataifa kuhusu ugonjwa wa ukimwi wafungwa
Mkutano wa 18 wa kimataifa kuhusu ugonjwa wa ukimwi ulifungwa tarehe 23 mjini Vienna, Austria. Ujumbe mkuu uliotolewa na mkutano huo wa si...
Wanajeshi wa Uganda wauawa Somalia
Baadhi ya askari wa kulinda amani Somalia ...
Serikali ya Marekani yakiri kuwa utumwa bado upo nchini humo
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa ripoti ikikiri kwa mara ya kwanza kwamba utumwa bado unashuhudiwa nchini humo katika sura ya kis...
Benki za India zawabagua Waislamu kwa kutowapa huduma muhimu
Watetezi wa haki za wafuasi wa dini za wachache nchini India wamekosoa vikali ubaguzi unaofanywa na mabenki ya nchini humo katika kutoa hu...
Umoja wa Mataifa ataka jumuiya ya kimataifa ifuatilie suala la wakimbizi
Ofisa mwandamizi wa Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa Bw. António Guterres ambaye yuko ziarani nchini Jamhuri ya kidem...
Shirika la Fedha Duniani IMF linaifutia Haiti deni la dola milioni $268
Bodi ya wakurugenzi ya shirika la fedha duniani IMF imeidhinisha kuifutia Haiti deni lote la dola milioni 268 inalodaiwa na shirika hilo. ...
Umoja wa Afrika wakiri askari wake wanashambulia maeneo ya raia Somalia
Umoja wa Afrika umekiri katika ripoti yake ya siri kwamba askari wake wanaolinda amani nchini Somalia wanashambulia ovyo maeneo ya raia mj...
Raia mwenye asili ya kisomali ashitakiwa Marekani
Mahakama moja ya Marekani. Maafisa wa Marekani wamemfungulia mashitaka ya ugaidi ki...
Waasi wa Darfur na UM wametia sahihi mkataba wa kuwalinda watoto
Waasi wa jimbo la Darfur Sudan na Umoja wa Mataifa leo wametia sahii mkataba wa kuwalinda watoto. Watoto wa Darfur Hatua hii ina lengo l...
UM umetoa tahadhari wakati hali ya kibinadamu ikizidi kuzorota Somalia
Tathimini ya mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu nchini Somalia Mark Bowden inasema Somalia ni moja ya matatizo ya kibina...
AU: Mkutano wa Mawaziri wa Kigeni waanza Kampala
Mkutano wa mawaziri wa masuala...
HAPPY BIRTHDAY FARIDA ABDALLAH SEIF
Leo tarehe 21 July ni siku ya kuzaliwa Dada FARIDA ABDALLAH SEIF wa Hyderabad,India. Blog hii inaungana na familia yake,ndugu jamaa na mar...
Raia wa kigeni wajeruhiwa Afrika Kusini
Polisi Afrika Kusini ...
Mto mrefu zaidi wa China wakumbwa na mafuriko makubwa
Taarifa iliyotolewa tarehe 20 na ofisi ya uongozi wa kazi ya kukabiliana na mafuriko na maafa ya China inasema, kutokana na mvua kubwa ku...
Mkutano wa maandalizi ya mkutano wa wakuu wa Umoja wa Afrika wafuatilia suala la usalama
Mkutano wa maandalizi ya mkutano wa 15 wa wakuu wa Umoja wa Afrika ulifunguliwa tarehe 19 huko Kampala, Uganda. Kauli mbiu ya mkutano huo ...
Idadi ya waliofariki katika ajali ya treni nchini India yapanda na kufikia 61
Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali mbaya ya treni nchini India imepanda na kufikia 61. Idadi hiyo ambayo mchana wa leo ilikuwa imetajw...
Vijana Asia na Ulaya mashariki wanakabiliwa na changamoto za HIV:UNICEF
Ripoti mpya iliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF inasema usambaaji wa chini kwa chini wa virusi ...
Ingawa hatua zimepigwa lakini bado vita dhidi ya ukimwi vinakabiliwa na changamoto:Ban
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kumepigwa hatua kubwa kimataifa kukabiliana na HIV na ukimwi. Mkutano wa uk...
Wataalamu watoa wito wa kutengenezwa kinga ya maradhi ya ukimwi
Wasomi na wataalamu wa maradhi ya ukimwi wametoa wito wa kufanyika juhudi kubwa zaidi za kutumia vyema rasilimali chache zilizopo kwa ajil...
Mugabe: Hakuna haki ya ndoa za watu wa jinsia moja katika katiba mpya
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesisitiza kuwa katiba mpya ya nchi hiyo hataikuwa na kipengee chochote kinachodhamini haki ya kuruhusu nd...
Watu wasiopungua 48 wafariki dunia katika ajali ya treni India
Watu wasiopungua 48 wamefariki dunia katika ajali ya treni mbili zilizogongana huko mashariki mwa India mapema leo Jumatatu. Afisa mmoja ...
Interpol yatoa picha za watu wanaoshukiwa kutekeleza mauaji ya Kampala
Polisi ya Kimataifa Interpol imechapisha picha mbili zinazodhaniwa ni za watu waliohusika na mashambulizi ya kigaidi yaliyouwa watu 73 kat...
Kasisi wa Kenya ashtakiwa kuwa na 'bomu'
Kasisi wa Kenya amekana mashtaka mawili ya madai ya njama za kutega bomu katika maandamano ya kuip...
ni nani wa kuzizuia hasira hizi.!?
Kwa mara nyingine tena, kile kinachoelezwa kama 'wananchi wenye hasira, kimefanya kazi yake tena baada ya kumchoma moto wa tairi kija...
Afrika Kusini yaomba ujumbe usio wa kudumu wa Baraza la Usalama
Serikali ya Afrika Kusini imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liichague nchi hiyo kuwa mjumbe asiye wa kudumu wa baraza hilo h...
Umoja wa Mataifa unasherehekea Siku ya Nelson Mandela kumuenzi raia huyo ambaye ni mfano wa kimataifa
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo limefanya kikao kisicho rasmi kuienzi kwa mara ya kwanza siku ya kimataifa ya Nelson Mandela a...
Wakimbizi 2000 warejeshwa Rwanda
Wakimbizi wa Rwanda Wakimbizi wa Rwanda walior...
Hofu ya kuzuka tena mashambulizi ya kibaguzi yazuka Afrika Kusini:IOM
Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM hivi sasa linashirikiana na serikali ya Afrika ya Kusini, mashirika ya Umoja wa Mataifa na mashirika ...
Obama ayalaani mashambulio ya mabomu mjini Kampala.
Rais Barack Obama wa Marekani amelilaani shambulio la bomu lililofanywa mjini Kampala na wapiganaji wa al Shabaab. Rais Obama ameyas...
Uchunguzi mpya wa maoni waonyesha umaarufu wa Rais Obama unazidi kupungua
Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na gazeti mashuhuri la The Washington Post kwa ushirikiano na kanali ya televisheni ya ABC nchini Marek...
Mamia waandamana Ufaransa kukosoa ukoloni mambo leo barani Afrika
Mamia ya watu waliandamana jana mjini Paris wakiitaka Ufaransa kukomesha ukoloni mambo leo katika makoloni yake ya zamani barani Afrika. W...
Abou Gheit: Utatuzi wa mgogoro wa maji ya Mto Nile unahitaji miongo kadhaa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa utatuzi wa hitilafu zilizojitokeza kuhusu matumizi ya maji ya Mto Nile kati ya nchi za kandok...
Milipuko haitaathiri na kuufanya mkutano wa wakuu wa AU uahirishwe
Msemaji wa serikali ya Uganda Bw. Fred Opolot tarehe 12 amesisitiza kuwa milipuko miwili iliyotokea usiku wa manane wa tarehe 11 huko Ka...
WIKIEND NJEMA WADAU NA MAJUKUMU YANANIANDAMA........!!!!!!
href="file:///C:%5CUsers%5Cnkya85%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtml1%5C01%5Cclip_filelist.xml"> ...
Afrika itumie msukosuko wa uchumi kuingia kwenye uzalishaji:UNCTAD
Nchi za Afrika zimetakiwa kuchukua hatua kubalidi uchumi wake wakati zikichipuka tena kutoka kwenye mdororo wa uchumi, ili uweze ...
NONDOZZZZ HYDERABAD!!!
Ni siku ya furaha katika maisha ya wahitimu waliomaliza shahada zao za kwanza kwa elimu ya juu hapa Hyderabad,India.Wakirusha kofia zao juu ...