Searching...
Saturday, July 17, 2010

ni nani wa kuzizuia hasira hizi.!?

Kwa mara nyingine tena, kile kinachoelezwa kama 'wananchi wenye hasira, kimefanya kazi yake tena baada ya kumchoma moto wa tairi kijana aliyedhaniwa kuwa kibaka. Jamaa anaonekana kijana mmoja akimsaidia Israel kutoa roho ya kibaka huyo aliyedaiwa kutaka kuiba baiskeli kwenye nyumba ya mkazi mmoja maeneo ya Mabibo jijini Dar es Salaam leo alfajiri. Jina la kijana huyo halikuweza kufahamika mara moja.


Kijana aliyedaiwa kuwa kibaka akiteketea kwa moto na kipigo huku akiwa amevishwa tairi.


….Kibaka akiteketea! .Dah!
Chanzo cha habari Globalpublisher

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!