Sherehe ya siku ya jumba la Djibouti imeanza kufanyika asubuhi ya tarehe 30 kwenye maonesho ya kimataifa ya Shanghai. Waziri wa utalii wa ...
Mabadiliko makubwa katika uchumi wa kimataifa yanahitajika kuleta mafanikio:UM
Uwiano mkubwa katika uchumi wa kimataifa unahitajika ili kuufanya uchumi kuwa imara. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa jamii na ...
Jina la msichana wa miaka 6 wa Kimarekani limo katika orodha ya magaidi
Familia moja ya Ohio nchini Marekani imepigwa na mshangao mkubwa wakati iliposikia kuwa binti mdogo wa miaka 6 wa familia hiyo yumo ka...
Uingereza kupunguza idadi ya wahamiaji
Afisa wa idara ya uhamiaji wa Uingereza akikagua paspoti Wizara ya mambo ya ndani ya Uingereza, kwa mara ya kwanza imeweka kikwazo kuhusu id...
MAPANGO YA AMBONI, TANGA
Mapango ya Amboni ni makubwa zaidi katika Afrika Mashariki yamejengwa kutokana na chokaa yapo km 8 kutoka Tanga Mjini.Mapnago ya Amboni ni ...
Uingereza ndilo soko kuu la madawa ya kulevya barani Ulaya
Ofisi ya kupambana na madawa ya kulevya na jinai ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, Uingereza imebadilika na kuwa soko kuu la madawa ya ...
Sudan na Misri zasema hazitatia saini mkataba mpya wa Mto Nile
Misri na Sudan zimesema hazitakubali kulazimishwa kutia saini mkataba mpya wa kugawana maji ya Mto Nile. Mawaziri wa maji wa nchi hizo mbi...
Cannavaro: Hatuna bahati na Afrika
Fabio Cannavaro NAHODHA wa timu ya soka ya Italia, Fabio Cannavaro amesema kikosi cha timu hiyo maarufu kama Azzuri hakina bahati na bar...
ATISHIA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE NGUZO YA UMEME!!
Alipoona wanazidi kumsumbua, aliamua kupanda juu zaidi. Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Frank Macha, 17, mwanafunzi wa kidato cha t...
Nchi tajiri zatakiwa kutekeleza ahadi zake za misaada
Katika Mkutano wa mataifa nane...
Mkutano wa G20, UM unatilia shime malengo ya maendeleo ya milenia
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kutengamaa kwa uchumi wa dunia kunategemea kukua kwa nchi zinazoendelea. Mkutano wa G...
Juni 26 ni siku ya kimataifa kupinga mihadarati na usafirishaji haramu
Kila mwaka Juni 26 huadhimishwa siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya na usafirishaji haramu. Siku ya kimataif...
Maelfu ya Waingereza hufariki dunia kwa vyakula visivyo na kiwango bora
Kwa akali Waingereza elfu arobaini hupoteza maisha yao kila mwaka kutokana na kupatwa na maradhi ya mshituko wa moyo ambao husababishwa na...
LORI LAPARAMIA GESTI, WATEJA WACHANGANYIKIWA
Lori lilivyovamia nyumba hiyo LORI la mchanga aina ya Nissan Diesel lenye namba za usajili T 614 ASZ, leo alfajiri liliparamia nyumba ya...
Sheria na ukiukaji wa haki ni kikwazo cha vita dhidi ya ukimwi:UNDP&UNAIDS
Tume maalumu ya kimataifa ya ukimwi na sheria imezinduliwa hii leo kwa lengo la kushirikiana na masuala ya sheria. Vita dhidi ya ukimwi ...
Bunge la Kenya lapitisha sheria inayoipa serikali uwezo wa kudhibiti bei
Bunge la Kenya limeidhinisha sheria inayoipa serikali uwezo wa kudhibiti bei za bidhaa muhimu kama vile chakula na mafuta ya petroli. Sher...
China yaanzisha shule ya watoto yatima Zimbabwe
Bw. Xin Shunkang na Bibi Grace Mugabe Kutokana na mwaliko wa mke wa rais wa Zimbabwe Bibi Grace Mugabe baadhi ya wafanyakazi wa ubalozi ...
Kuna ongezeko la matumizi ya mihadarati katika nchi zinazoendelea: UNODC
Ripoti ya kimataifa ya dawa za kulevya kwa mwaka huu 2010 inaonyesha matumizi ya dawa hizo yanahamia kwenye dawa mpya na masoko m...
Dunia inawataka wafanyakazi wa umma kuwa wabinifu zaidi:Ban
Leo ni siku ya Umoja wa Mataifa ya huduma kwa jamii na katika hafla maalumu mjini Barcelona Uhispania Umoja wa Mataifa umetoa tuzo...
Mahabusu kushiriki kura ya katiba Kenya
wafungwa watapiga kura ya maoni Kenya ...
Maimamu wa Jamaa nchini Uhispania walalamikia marufuku ya Hijab
Maimamu wa sala ya Jamaa katika Misikiti kumi na moja iliyoko katika jimbo la Catalonia nchini Uhispania wamechukua uamuzi wa kufungua mas...
Watoto wa Lumumba kufungua mashitaka
Ramani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Watoto wa kiongozi wa uhuru wa Jamhuri ya Ki...
Uwekezaji kwa wasiojiweza ni muhimu kwa uchumi na kutimiza malengo ya milenia:UM
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amewataka viongozi wa nchi zilizoendelea kiviwanda na mataifa yanayoendelea kujikita katika ma...
Kenya nayo yasajili simu za mkononi kama Tanzania
Matumizi ya simu za mkononi yamezidi nchini Kenya "Namba ya simu ambazo itaku...
ANNA KIWAMBO NDIO MISS TANGA 2010!!!!
Mnyange wa Miss Tanga 2010 Anna Kiwambo akiwa katika uso wa furaha punde tu baada ya kutangazwa kuwa mshindi katika mchakato huo uliofanyi...