Hali ya taharuki imetanda mjini Ayodhya kaskazini mwa India huku Mahakama Kuu ya Allahabad ikitazamiwa kutoa uamuzi wake kuhusu umiliki ...
Haramia wa Kisomali akamatwa Tanzania
Maharamia wa Kisomali Jeshi la Tanzania limesema limemkamata mshukiwa mmo...
Serikali ya Kenya yawaomba wabunge kuunga mkono miswada ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
Serikali ya Kenya imewaomba wabunge wa nchi hiyo kuunga mkono miswada inayolenga kuimarisha nafasi ya nchi hiyo katika Jumuiya ya Afrika M...
Kenya yaweka mkakati wa kuwatambua wafadhili wa kundi la Al-Shabab
Benki Kuu ya Kenya CBK imeziamuru benki zote nchini humo kufuatilia kwa karibu shughuli za kibiashara za baadhi ya wafanyabiashara wenye...
Huduma kwa walioa na HIV na Ukimwi imeimarika katika nchi zinazoendelea:UM
Ripoti mpya iliyotolewa leo kuhusu masuala ya ukimwi inasema hatua kubwa zimepigwa katika nchi nyingi za kipato cha chini na cha wastani k...
Papa wa Misri awaomba radhi Waislamu
Papa Shenouda III Kiongozi wa kikiristo wa madhehebu ya Copti nchini Misr...
Takataka za sumu za Scotland zatupwa katika nchi masikini duniani
Scotland kila mwaka hutupa maelfu ya tani za takataka za sumu zilizozalishwa katika viwanda na vituo vya kibiashara katika nchi masikini d...
Umoja na Mshikamano wasisitizwa kwenye kongamano la Hija nchini Tanzania
Kongamano la siku mbili la Hija limeanza mjini Dar es Salaam Tanzania kwa kuwataka Waislamu wahifadhi na walinde umoja na mshikamano wao. ...
Afrika ipewe nafasi na vikwazo viondolewe:Mugabe
Mtazamo wa kutaka nafasi ya Afrika kwenye baraza la usalama umeungwa mkono pia na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia y...
Rais wa Somalia ataka jumuiya ya kimataifa kuisaidia kukabiliana na ugaidi wa al-Shabaab
Mjadala wa kila mwaka wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa umeendelea leo Jumamosi kwenye makao makuu hapa New York. Rais wa Somalia Sheikh S...
Mgodi waporomoka Burundi
Barundi Mamlaka ya jimbo la Kayanza, ambapo ajali hiyo imetokea, ameiambia BBC kuwa watu hao walikuwa wakichimba m...
Mahakama ya Kenya yawapata na hatia ya uharamia Wasomali 7
Mahakama ya Mombasa nchini Kenya imewapata na hatia ya kufanya uharamia Wasomalia 7 na kuwahukumu kifungo cha miaka mitano jela kwa kute...
Wanawake wanaovaa hijabu ya Kiislamu wakandamizwa Ujerumani
Bi. Hamida Muhaqiqi Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Paderborn nchini Ujerumani amekosoa vikali vitendo vya kibaguzi vinavyofanywa dhidi ya wa...
Obama: Afrika iwe muuzaji chakula nje
Rais Barack Obama akihutubia kikao cha 65 cha Umoja wa Mataifa Septemba 23, 2010. "Hakuna sababu Afrika is...
Wakenya wataka mashitaka ya ICC
Madai yanayotokana na ghasia za uchaguzi 2008 hayajafanyiwa kesi. Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa idadi kubw...
China kusamehe madeni ya nchi zilizoko nyuma zaidi duniani
China itasamehe madeni ya nchi zilizoko nyuma zaidi kiuchumi duniani, ili kuzisaidia hizo kutimiza malengo ya maendeleo ya milenia. Wazir...
Ban amewataka wakuu wa nchi kutimiza ahadi za malengo ya milenia
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon akifunga mkutano wa tathimini ya malengo ya maendeleo ya milenia mjini New York amesem...
Maseneta wa US wakataa mashoga jeshini
wanajeshi wa Marekani Maseneta wa chama cha Republican nchini Marekani w...
Waziri mkuu wa serikali ya mpito ya Somalia ajiuzulu
Waziri mkuu wa serikali ya mpito ya Somalia Bw. Umar Abdirashid Sharmarke tarehe 21 alitangaza kujiuzulu, ili kuzuia hali ya kukwama ya ki...
Rais Kagame awataka viongozi wa Afrika waepuke kutegemea misaada ya kigeni
Rais Paul Kagame wa Rwanda amewataka viongozi wa bara la Afrika waepuke kutegemea misaada ya kigeni na badala yake watumie raslimali zi...
Mkutano wa UM unaendelea kujadili malengo ya milenia na njia za kupambana na umasikini
Nchi mbalimbali zimeendelea kutoa tathimini ya hatua zake katika malengo ya maendeleo ya milenia kwenye mkutano wa Umoja wa Matai...
Marekani yahimiza Sudan kutekeleza mkataba wa amani.
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton akutana na rais wa zamani wa Afrika Kusini Thabo Mbeki, mwenyeki...
Nairobi-China na Kenya zaanza ukaguzi wa mabaki ya kale chini ya bahari
Idara ya ukaguzi wa mabaki ya kale ya sehemu za pwani ya Jumba la makumbusho ya Kenya tarehe 19 ilitangaza kuwa, ushirikiano kati ya China...
Idadi ya watu wanaoambukizwa virusi vya Ukimwi ya nchi 22 yapungua
Takwimu zilizotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ugonjwa wa Ukimwi, UNAIDS zinasema, kuanzia mwaka 2001 hadi mwaka 2009...
Maelfu waandamana London kupinga safari ya Papa Benedict nchini Uingereza
Maelfu ya watu waliandamana jana mjini London kupinga safari ya Papa Benedict XVI nchini Uingereza wakimtaka Kiongozi wa Kanisa Katoliki k...
Mhamiaji mwengine auliwa na polisi wa MIsri akijaribu kuingia Israel
Wkimbizi wa ki-Sudan wakiwatupia mawe polisi wa Misri mbele ya makao makuu ya UNHCR Cairo wakilalamika jinsi wanavyot...
BAADA YA CHAI KULIKUWA NA MTOKO NJE KIDOGO YA MJI WA HYDERABAD
Tulipowasili maeneo ya kujidai kama panavyoonekana panaitwa Pragat Resort ni nje kidogo ya mji huu wa Hyderabad Tulipata picha ya pamoja...
BAADHI YA WANAFUNZI WAISHIO HYDERABAD WALIPOPATA CHAI YA PAMOJA SIKU YA EID FITRI
Chai ya asubuhi ya Eid kama inavyoonekana vitafunwa vyake vilivyokuwa mambo haya ni baada ya kumalizika sala ya Eid Vilikuwa ni vya kut...