Wkimbizi wa ki-Sudan wakiwatupia mawe polisi wa Misri mbele ya makao makuu ya UNHCR Cairo wakilalamika jinsi wanavyotendewa.
Maafisa wanasema polisi walifyetua risasi baada ya wahamiaji kupuzi onyo la kusimama. Tukio hilo limeongeza idadi ya wahamiaji walouliwa kwenye mpaka huo kufikia 28 mwaka huu.
Wasudan wanaotafuta uhamiaji wakishusha mizigo baada ya kuwasili Cairo, Misri kufuatia safari ya siku tano kutoka Drafur, Sudan.Hapo mwezi Marchi Kamishna mkuu wa Haki za Binadam wa Umoja wa Mataifa Navi Pillay alitoa wito wa kukomeshwa kile alichoikieleza ni “kitendo cha kulaaniwa” cha utumiaji nguvu wa kusababisha vifo, ambao umesababisha vifo vya zaidi ya watu 60 tangu kati kati ya 2007.Bi. Pillay anasema idadi kubwa ya wahamiaji walouliwa walitokea nchi za Afrika, kusini mwa janga la Sahara, hasa Sudan, Ethopia na Eritrea.


0 comments:
Post a Comment