Kofi Annan Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Kenya kuweka wazi misimamo yake kuhusiana na Mahakama ya Kimat...
UN unayahimiza mataifa yote kuidhinisha mkataba wa kupiga marufuku majaribio ya nuklia
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon anayahimiza mataifa yote ambayo hayajaidhinisha mkataba wa kupiga marufuku majaribiyo ...
Mawaziri wa Kenya wahitilafiana juu ya kualikwa Bashir
Rais Omar Hassan al-Bashir apunga mkono akiwasili Kenya kuhudhuria sherehe za kutiwa saini katiba mpya mjini Nairobi ...
Rais Mwai Kibaki wa Kenya asaini katiba mpya kuwa sheria
Rais Mwai Kibaki wa Kenya leo amesaini katiba mpya ya nchi hiyo iliyongojewa kwa muda mrefu na kuwa rasmi sheria, wiki kadhaa baada ya kup...
Milioni moja wengine hawana pa kuishi kutokana na mafuriko nchini Pakistan
Umoja wa Mataifa leo umesema kuwa watu wengine milioni moja hawana pa kuishi nchini Pakistan kutokana na mafuriko, huku maafisa wa Islam...
Dawa bandia zakamatwa Afrika
Interpol yakamata madawa bandia katika bara la Afrika. Polisi wa kimataifa-Interpoli wanasema tani 10 z...
Mzozo wazuka katika maadhimisho ya Martin Luther King
Mtangazaji mmoja mkonsevativu katika televisheni za Marekani amezusha mzozo mkubwa kwa mipango yake ya kufanya mkutano wa hadhara siku amba...
Ban Ki-moon amelaani vikali ubakaji uliotokea huko kivu kaskazini.DRC
Wanawake wa Congo wakitaabika kuwabeba watoto na mizigo yao huko mashariki ya DRC wakielekea kupokea msaada wa WFP Bw. B...
Nairobi-Kenya yawahukumu Waethiopia 89 kwa kuingia kiharamu nchini humo
Idara ya uhamiaji ya Kenya tarehe 20 ilitoa taarifa ikisema, polisi wa Kenya wamewakamata Waethiopia 89 waliovuka mpaka na kuingia kiharam...
Afrika Kusini yafanikiwa kortini kuzuia mgomo wa Wafanyakazi
Serikali ya Afrika Kusini imepata idhini ya mahakama ya kuzuia mgomo wa wafanyakazi wanaotoa huduma muhimu. Zaidi ya wafanyakazi milioni...
Watu nusu milioni watembelea maonyesho ya Qurani Tehran
Zaidi ya watu nusu milioni hadi sasa wametembelea Maonyesho ya 18 ya Kimataifa ya Qurani Tukufu yanayoendelea katika Ukumbi Mkubwa wa Sa...
Pakistan yahofia maradhi baada ya mafuriko
Waathiriwa mafuriko Pakistan Waziri Mkuu wa Pakistan Yousuf Raza Gilani ametoa wito wa kufanyika kwa mkutano wa dh...
Vita vya Irak vyamalizika rasmi
Majeshi ya Marekani yaondoka Irak baada ya miaka saba. Miaka saba baada ya kumwangusha Saddam Hussein, Marekani imeviondoa vikosi ...
Ban Ki Moon amteua Mkenya kusimamia ofisi mpya ya UN nchini Ethiopia
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon amemteua mwanadiplomasia wa Kenya kusimamia ofisi mpya ya umoja huo iliyoko mjini Addis Abab...
Pakistan yakubali msaada kutoka India
Waathirika wa mafuriko huko Pakistan wakipokea misaada. Pakistan imesema itakubali kupokea doll...
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuwa ‘wimbi la pili la vifo’ linaloijongelea Pakistan
Tuesday, 17 August 2010 Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa Pakistan inajongelewa na kile ulichokiita ‘wimbi la pi...
China sasa ni nchi ya pili yenye nguvu kubwa zaidi za kiuchumi duniani
Baada ya miongo mitatu ya ukuaji mkubwa wa kiuchumi, China imeipita Japan na kuwa nchi ya pili baada ya Marekani yenye uwezo mkubwa zaid...
Babangida kuwania urais wa Nigeria
Uchaguzi wa urais kufanyika mwakani Aliyekuwa kiongozi wa kijeshi nchini N...
ZIJUE FAIDA ZA TENDE.
Je unajua kwamba tende ndio tunda pekee lenye kuupatia mwili vitu vinne kwa wakati mmoja, vitamin, protini, wanga na mafuta?. Mbali na u...
Rais wa Kenya atoa salamu za heri na fanaka katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Rais Mwai Kibaki wa Kenya amewatumia Waislamu wa Kenya salamu za heri na fanaka kwa munasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Katika...
RAMADHAN KAREEM KWA WAISLAM WOTE!!
Urary95 Blogspot inapenda kuwatakia waislamu wote mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa ramadhan....
China yafaulu kurusha satellite nyingine ya kutambua kutoka mbali
Kituo cha kurushia satellite cha Taiyuan, China leo alfajiri kimefaulu kutumia roketi ya "Changzheng nambari 4 C" kurusha satell...
Ban Ki-moon ametangaza jopo la kushughulikia masuala ya kimataifa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon leo ametangaza jopo maalumu la watu watakaoshughulikia masuala ya kimataifa. Rais Jacob Zuma na...
Utumiaji mbaya wa watoto unazidi kuongezeka nchini Marekani
Watetezi wa haki za watoto wamesema maafisa wa vyombo vya sheria nchini Marekani hawachukui hatua za maana kuzuia na kupambana na utumiaji...
Obama: Elimu ni msingi wa ustawi wa uchumi.
Rais Barack Obama akihutubia wanafunzi katika chuo kikuu cha Texas huko Austin, 09 Aug 2010. ...
JAHAZI LINAUZWA LAMU-KENYA.........!!!!!!!!!
Muonekano wake kwa mbele kabisa muonekano wake kwa pembeni Jahazi hili urefu wake ni ft.52 na upana ni ft.18 Machine yake ni Yanmar 6 cylin...
UCHAGUZI 2010/ PIGA KURA
Princess Lumy Kumi na minane ili kuweza kupiga kura Ni haki ya juu hata weusi waamerika Leo ni zamu yako dada, kaka kuchagua Kura yako ndio ...
Mkuu wa polisi' Afrika Kusini ahukumiwa
Mahakama moja nchini Afrika Kusini imetoa hukumu ya kifungo cha miaka kumi na mitano gerezani kwa ...
Ban aidhinisha dola milioni 10 kuisaidia waathirika wa mafuriko Pakistan
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua za monsoon nchini Pakistan yanaendelea kukatili maisha ya watu. Mafuriko Pakistan Hadi sasa watu zaidi ...
Watu takribani 80 wafariki dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan
watu wapatao 80 wamekufa kutokana na mafuriko makubwa yaliyoikumba eneo la mashariki mwa Afghanistan. Watoto wa Afghanistan Mis...
Wazanzibari wakubali kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa
Rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume Ni shangwe na nderemo kwa wale waliounga mkono mageuzi ya katiba yatakayowezesha kuundwa kwa serikal...
Polisi Ufaransa watumia ukatili kuwafukuza wahamiaji Waafrika
Polisi nchini Ufaransa wametumia ukatili na nguvu ziada kuwafukuza wanawake wahamiaji Waafrika na watoto wao kutoka eneo moja la Paris. Kw...
Jeshi la Marekani lakiri kuwa na mpango wa kuishambulia Iran
Mwenyekiti wa Baraza la wanadhimu wakuu wa jeshi la Marekani Jenerali Michael Mullen tarehe 1 Agosti aliposhiriki kwenye mahojiano ya k...
China yafanikiwa kurusha satelaiti ya tano ya kuongoza safari
China imefanikiwa kurusha satelaiti ya tano ya kuongoza safari kwenye anga ya juu, ambayo ni ya tatu kurushwa na China kwa mwaka huu. Kwa ...
Tanzania yapambana na rushwa katika uchaguzi
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete, kulia. Nchi yake inaelekea uchaguzi Oktoba ikiwa na sheria kali dhidi ya rush...
Polisi Ufaransa watumia ukatili kuwafukuza wahamiaji Waafrika
Polisi nchini Ufaransa wametumia ukatili na nguvu ziada kuwafukuza wanawake wahamiaji Waafrika na watoto wao kutoka eneo moja la Paris. Kw...
Maziwa ya mama ni kinga, tiba na muhimu kwa maisha ya mtoto:UNICEF na WHO
Wiki ya unyonyeshaji duniani hufanyika kila mwaka kuanzia Agosti mosi hadi 7 katika nchi zaidi ya 120. Bango la kupigia upatu unyonyeshaji...
UM wapongeza kuanza utekelezaji wa mkataba wa kupinga matumizi ya mabomu mtawanyiko
Mkataba wa kimataifa wa kupinga matumizi ya mambomu mtawanyiko, yaani cluster bombs, unaanza kutekelezwa Agosti mosi. Athari za mambomu m...