Searching...
Tuesday, August 10, 2010

China yafaulu kurusha satellite nyingine ya kutambua kutoka mbali

Kituo cha kurushia satellite cha Taiyuan, China leo alfajiri kimefaulu kutumia roketi ya "Changzheng nambari 4 C" kurusha satellite ya kutambua kutoka mbali na kuifikisha kwenye njia iliyopangwa.

Habari kutoka shirika la habari la China Xinhua zinasema, satellite hiyo iliyorushwa itatumika kwa ajili ya majaribio ya kisayansi, uchunguzi wa maliasili, kukadiri wa mazao ya kilimo na kuzuia na kupunguza athari za maafa.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!