Keki ya Besdei yenye kuonyesha namba 52 ikiwa ni umri mpya wa Da' Asia Idarous Khamsini. Da' Asia Idarous Khamsini akifurahia siku...
RAIS KIKWETE AOMBOLEZA VIFO VYA WANANCHI 13 WA DAR ES SALAAM WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAFURIKO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mri...
VODACOM YATOA POLE MAAFA DAR ES SALAAM
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba. ============ Kuchangia 30Mil. Wateja wake kuchangia kupitia Red Ale...
MAAFA YA MAFURIKO DAR ES SALAAM HALI NI YA KUSIKITISHA
Hali ni mbaya katika barabara ya Morogoro eneo la Jangwani ambapo kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiishi hapo, japokuwa serikali imekuwa iki...
VODACOM YAZINDUA DUKA LA KISASA QUALITY CENTRE
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Bw. Jordan Rugimbana akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa duka jipya la kisasa la kampuni ya Vodacom lilip...
Rais Kikwete azindua rasmi jengo jipya la Chuo cha Taifa cha Utalii jijini Dar es salaam
Rais Jakay Kikwete akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Mh Henri De Raincourt wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa...
CCM UK YASHEREKEA MIAKA 50 YA UHURU
Ndugu Maina Owino (M/Kiti CCM UK) akiwahutubia wageni waalikwa kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua sherehe hizo. Kushoto ni Suleima...
KAMPENI YA KUPINGA UNYANYASAJI WA KIJINSIA YAZINDULIWA DAR
Kombani akihutubia katika uzihnduzi huo. Baadhi ya wageni waalikwa wakimsikiliza Kombani. Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia ...
Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Akagua Hatua Za Awali Za Ujenzi Wa Majengo Ya Chuo Kikuu Cha Taifa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akiangalia mandhari ya Eneo la Chuo Kikuu ...
Habari hii njema kutoka kwa dada yetu mpendwa Evelyn Kaijage
Ndugu zangu watanzania, chuo cha Westminster kilichopo katikati ya jiji la london, UK, kila mwaka kinatoa scholarship kwa watanzania kus...
AIRTEL YASHEREHEKEA MIAKA 50 KWA KUWAZAWADIA MILIONI 50 WATEJA WAKE
Mkurugenzi wa Airtel Tanzania, Sam Elagalloor (katikati), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mchakato wa zawadi mbalimbali zikiwemo...
Mameneja Wa Tanroads Mikaoni Wapanguliwa!!!!!!
Mtendaji Mkuu wa Tanroads Eng. Patrick Mfugale -- Mtendaji Mkuu wa Tanroads Eng. Patrick Mfugale amefanya mabadiliko makubwa kwenye safu...
Waziri wa Maji,Profesa Mark Mwandosya Alipozungumza na Waandishi wa Habari Ofisini Kwake Siku Chache baada ya Kurejea Kutoka Nchini India Kwa Matibabu
Waziri wa Maji, Profesa Mark Mwandosya (kulia ) akizungumza na viongozi watendaji wakuu wa wizara hiyo na waandishi wa habari kuhusu kutoa...
Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Na Mbunge Wa Kitope Zanzibar Atembelea Jimbo Lake
Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akikabidhi Hati Ya Usajili Wa Saccos Ya Uwezeshaji Kwa Katibu Mkuu Wa Wizara Ya Ka...