Kombani akihutubia katika uzihnduzi huo.
Baadhi ya wageni waalikwa wakimsikiliza Kombani.
Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wototo, Bi. Umi Ally Mwalimu pia alikuwepo.
Kutoka kushoto ni Mwalimu, Balozi wa Merekani nchini, Alfonso Lenhardt, Kombani na Mkurugenzi wa shirika la kimaaifa la misaada la Marekani (USAID) nchini Tanzania, Robert Cunnane, wakibadilishana mawazo.
Kampeni ya kupinga unyanyasaji wa kijinsia imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam na mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Salma Kikwete, ambaye aliwakilishwa na Waziri wa Katiba, Celina Kombani.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY)
0 comments:
Post a Comment