Searching...
Saturday, October 4, 2014

MATOKEO MABOVU MFULULIZO YAMFUKUZISHA KAZI KOCHA WA BOLTON WANDERERS

Klabu ya  Bolton Wanderers  imeamua kumtupia virago aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Dougie Freedman kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kushindwa kukidhi matarajio ya Bolton.
Dougie Freedman - Bolton Wanderers v Leicester City

Jimmy Phillip ambaye ni msimazi wa "football academy" ya Bolton Wanderers ndiye anaonekana kupigiwa chapuo kuridhi mikoba ya hiyo ya Dougie Freedman
Kwa sasa The Wanderers wanapambana kufa na kupona kupanda ligi kuu nchini Uingereza baada ya kushuka daraja msimu wa 2011-2012.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!