Searching...
Wednesday, July 30, 2014

VAN GAAL AENDELEZA FURAHA MAN UNITED, YAIBUTUA INTER MILAN MAREKANI

KOCHA Louis van Gaal ameendeleza wimbi la ushindi baada ya Manchester United kuifunga kwa penalti 5-3 Inter Milan kufuatia safe ya 0-0 katika mchezo wa Kombe la Kimataifa kujiandaa na msimu mpya nchini Marekani.
Katika mchezo huo uliofanyika kwenye Uwanja wa FedEx Field mjini Washington, penalti za United zilitiwa nyavuni na Ashley Young, Javier Hernandez, Tom Cleverley, Shinji Kagawa na Darren Fletcher wakati Marco Andreolli wa Inter aligongesha mwamba. Van Gaal akipanga vikosi viwili, kimoja kila kipindi.
Man United kipindi cha kwanza: Lindegaard, Smalling, Jones, Evans, Valencia, Fletcher, Herrera, Young, Mata, Rooney, Welbeck
Kipindi cha pili: De Gea; M Keane, Evans, Blackett; Young, Cleverley, Fletcher, Kagawa, Shaw; Zaha, Nani/Hernandez dk77.
Inter Milan: Handanovic/Carrizo dk63, Ranocchia, Vidic/Andreolli dk72, Juan Jesus, D'Ambrosio, Jonathan, Kuzmanovic/Laxalt dk63, Krhin/M'Vila dk46, Dodo/Nagatomo dk63, Botta/Taider dk63 na Icardi.

Mwanzo mzuri: Shinji Kagawa, Darren Fletcher na Tom Cleverley, wachezaji watatu waliofunga penalti za United wakishangilia baada ya ushindi wa 5-3 dhidi ya Inter Milan
Happy: Louis van Gaal and Ryan Giggs smile after the success
Kocha Louis van Gaal na Msaidizi wake, Ryan Giggs wakifuarahia

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!