Muda mchache uliopita kocha wa timu ya taifa ya England Roy
Hodgson amekitangaza kikosi cha timu kitakachowawakilisha waingereza
kwenye michuano ya kombe la dunian nchini Brazil.
Katika kikosi hicho Ashley Cole aliyetangaza kustaafu jana baada ya kupewa rasmi na kocha Hodgson kwamba hatoitwa kwa pamoja na Micheal Carrick, Tom Cleverly, Jermaine Defoe wote wametemwa.
Kikosi kamili kipo hivi:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester United), Luke Shaw (Southampton), Leighton Baines (Everton), Steven Gerrard (Liverpool), Frank Lampard (Chelsea), Jordan Henderson (Liverpool), Ross Barkley (Everton), Jack Wilshere (Arsenal), Alex Oxlade-Chamberlain (Arsenal), Raheem Sterling (Liverpool), Adam Lallana (Southampton), James Milner (Manchester City)
Forwards: Daniel Sturridge (Liverpool), Wayne Rooney (Manchester United), Danny Welbeck (Manchester United), Rickie Lambert (Southampton)
Katika kikosi hicho Ashley Cole aliyetangaza kustaafu jana baada ya kupewa rasmi na kocha Hodgson kwamba hatoitwa kwa pamoja na Micheal Carrick, Tom Cleverly, Jermaine Defoe wote wametemwa.
Kikosi kamili kipo hivi:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester United), Luke Shaw (Southampton), Leighton Baines (Everton), Steven Gerrard (Liverpool), Frank Lampard (Chelsea), Jordan Henderson (Liverpool), Ross Barkley (Everton), Jack Wilshere (Arsenal), Alex Oxlade-Chamberlain (Arsenal), Raheem Sterling (Liverpool), Adam Lallana (Southampton), James Milner (Manchester City)
Forwards: Daniel Sturridge (Liverpool), Wayne Rooney (Manchester United), Danny Welbeck (Manchester United), Rickie Lambert (Southampton)
0 comments:
Post a Comment