Searching...
Tuesday, May 13, 2014

EDEN HAZARD ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA CHELSEA

Star man: Chelsea boss Jose Mourinho presents Eden Hazard with his Player of the Year award
 Nyota: Bosi wa Chelsea,  Jose Mourinho akimpa zawadia Eden Hazard baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka
Eden Hazard poses with his trophy at the end of season awards bash  
 
Hazard scored 14 Premier League goals for Jose Mourinho's side
Hazard alisema: ‘Nataka kusema asante sana”
“Wenzangu watatu waliotajwa walistahili tuzo hii. Tunafahamu tulicheza kwa ushirikiano, lakini tuzo binafsi wakati fulani ni nzuri, kwahiyo nitaichukua tuzo hii mpaka nyumbani kwangu na kufurahia pamoja na familia yangu”

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!