Searching...
Monday, May 12, 2014

GIGGS KUPATA SHAVU MAN UNITED, VAN GAAL ASEMA HUWA ANABAKISHA KOCHA MMOJA

RYAN Giggs anaweza kupata kazi ya kudumu Manchester United baada ya kocha anayetarajia kujiunga na Mashetani wekundu, Louis Van Gaal kuweka wazi kuwa huwa anapenda kumuacha kocha mmoja aliyekuwa katika kikosi chake kipya kabla ya kujiunga na kuanza kazi rasmi

Giggs alishuhudia timu yake ikimaliza mechi ya mwisho kwa sare ya 1-1 na Southampton jana.
Sasa kinachosubiriwa ni kuona nini Van Gaal ataamua kuhusu hatima ya Giggs mara atakapothibitishwa kuwa kocha wa United baadaye wiki hii.
Lakini kutokana na falsafa ya Mholanzi huyo kubakisha moja ya makocha waliokuwepo imetoa matumaini kwa Giggs kupata ajira ya kudumu.
Big job: Louis van Gaal has plenty of work to do when he takes over at Manchester United
Kwasasa Van Gaal ni kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi na sasa anaiandaa timu yake kwa ajili ya mechi ya kirafiki wikiendi hii dhidi ya Ecuador

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!