Searching...
Monday, April 28, 2014

CHELSEA YAIPIGA 2-0 LIVERPOOL ANFIELD,VITA YA UBINGWA ENGLAND INOGILE

CHELSEA imeifunga Liverpool mabao 2-0 Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kufufua matumaini ya ubingwa.
Mabao ya Chelsea inayofundishwa na Mreno Jose Mourinho yamefungwa na Demba Ba dakika ya 45 na ushei Willian aliyemalizia kazi nzuri ya Fernando Torres dakika ya 90 na ushei.
Chelsea sasa inatimiza pointi 78 baada ya kucheza mechi 36 sawa na Liverpool inayoongoza kwa pointi zake 80, wakati Manchester City yenye pointi 74 za mechiu 34 ni ya tatu.
Raha tupu: John Obi Mikel akishangilia mbele ya kundi la wenzake wanaompongeza Demba Ba kwa kufunga bao la kwanza

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!