CHELSEA imeifunga Liverpool mabao 2-0 Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kufufua matumaini ya ubingwa.
Mabao
ya Chelsea inayofundishwa na Mreno Jose Mourinho yamefungwa na Demba Ba
dakika ya 45 na ushei Willian aliyemalizia kazi nzuri ya Fernando
Torres dakika ya 90 na ushei.
Chelsea sasa inatimiza pointi 78 baada ya kucheza mechi 36 sawa na Liverpool inayoongoza kwa pointi zake 80, wakati Manchester City yenye pointi 74 za mechiu 34 ni ya tatu.
Chelsea sasa inatimiza pointi 78 baada ya kucheza mechi 36 sawa na Liverpool inayoongoza kwa pointi zake 80, wakati Manchester City yenye pointi 74 za mechiu 34 ni ya tatu.
0 comments:
Post a Comment