Nderemo baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwasili ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma k...
Wednesday, October 24, 2012
Taswira ya tafrija ya makabidhiano ya madawati 680 kutoka kwa Hassan Maajar Trust na Tigo, yalitolewa Shule ya msingi Ruhuji kwa wilaya za Njombe,Makete,Ludewa na Wangi'ngombe yaliofanyika 22 Oktoba. Mgeni rasmi, Kapteni mstaafu Asery Msangi alikabidhi madawati kwa maDC wa wilaya hizo tano na kuwashukuru Tigo na Hassan Maajar Trust (HMT) kwa projekt hii ya madawati iliyochangiwa na 'Tigo Tuchange' . Kutoka HMT alikuwepo Mkurugenzi Zena Maajar Tenga na Kutoka Tigo Meneja Mauzo mkoa wa Iringa Ladislaus Karlo.
Taswira ya tafrija ya makabidhiano ya madawati 680 kutoka kwa Hassan Maajar Trust na Tigo, yalitolewa Shule ya msingi Ruhuji kwa...
DC Magu akunjua makucha, ampa saa 24 Mkuu wa Idara ya Maji
Mkuu wa Wilaya ya Magu, Mh Jaqueline Liana akikata utepe wakati wa uzinduzi wa uzinduzi wa mradi wa maji uliojengwa katika Kijiji ...
Monday, October 8, 2012
Rick Ross apagawisha vilivyo Serengeti Fiesta 2012
Msanii maarufu wa Rick Ross kutoka nchini Marekani akishambulia jukwaa la Serengeti Fiesta 2012 katika viwanja vya Leaders jijini Dar ...
Friday, October 5, 2012
JK awasili Edmonto, wadau wampokea kwa shangwe
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (shoto0 na Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
Washiriki wa Kijiji cha Maisha Plus waingia katika Kijiji chao rasmi Kambini
Mmoja wa wageni rasmi katika uzinduzi wa kijiji cha Maisha Plus Naibu Waziri wa Jinsia, Wanawake na Watoto Mhe. Ummy Mwalim akit...
Subscribe to:
Posts (Atom)