Waziri mkuu wa China Bw. We Jiabao ambaye yuko ziarani nchini India amesema, suala la mipaka kati ya China na India ni suala linalobaki kwenye historia, na utatuzi wa suala hilo unahitaji uvumilivu wa kutosha na muda mrefu.
Bw. Wen Jiabao aliyasema hayo alipotoa hotuba kwenye Kamati ya mambo ya dunia ambayo ni jumuia ya washauri mabingwa kuhusu masuala ya kidiplomasia na ya kimataifa. aidha amesema kuaminiana kwa moyo wa dhati na kufanya juhudi kwa hatua madhubuti kutasaidia kutatua suala hilo kwa njia ya haki na halali inayokubaliwa na pande zote mbili.
Bw. Wen Jiabao aliyasema hayo alipotoa hotuba kwenye Kamati ya mambo ya dunia ambayo ni jumuia ya washauri mabingwa kuhusu masuala ya kidiplomasia na ya kimataifa. aidha amesema kuaminiana kwa moyo wa dhati na kufanya juhudi kwa hatua madhubuti kutasaidia kutatua suala hilo kwa njia ya haki na halali inayokubaliwa na pande zote mbili.
0 comments:
Post a Comment