Searching...
Sunday, December 19, 2010

Utatuzi wa suala la mipaka kati ya China na India unahitaji uvumilivu na muda wa kutosha

Waziri mkuu wa China Bw. We Jiabao ambaye yuko ziarani nchini India amesema, suala la mipaka kati ya China na India ni suala linalobaki kwenye historia, na utatuzi wa suala hilo unahitaji uvumilivu wa kutosha na muda mrefu.
Bw. Wen Jiabao aliyasema hayo alipotoa hotuba kwenye Kamati ya mambo ya dunia ambayo ni jumuia ya washauri mabingwa kuhusu masuala ya kidiplomasia na ya kimataifa. aidha amesema kuaminiana kwa moyo wa dhati na kufanya juhudi kwa hatua madhubuti kutasaidia kutatua suala hilo kwa njia ya haki na halali inayokubaliwa na pande zote mbili.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!