Amesema watu zaidi ya 50 wameuawa na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa katika siku tatu zilizopita akiongeza kuwa atahakikisha wanaotekeleza uovu huo wanachukuliwa hatua dhidi ya vitendo vyao.
Bi Pillay amesema wakati watu wanakuwa wahanga wa mauaji ya kukiuka sheria lazima kuwe na uchunguzi na lazima watu wawajibishwe. Ametoa wito kwa pande zote husika kuheshimu haki za binadamu kwa Waivory Coast wote bila ubaguzi.
Bi Pillay amesema wakati watu wanakuwa wahanga wa mauaji ya kukiuka sheria lazima kuwe na uchunguzi na lazima watu wawajibishwe. Ametoa wito kwa pande zote husika kuheshimu haki za binadamu kwa Waivory Coast wote bila ubaguzi.



0 comments:
Post a Comment