Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa tarehe 19 asubuhi lilifanya majadiliano ya dharura kuhusu hali ya peninsula ya Korea.
Baada ya majadiliano hayo yaliyoitishwa na Russia, huenda mkutano rasmi ukafanyika.
Jeshi la Korea ya Kusini tarehe 16 lilitangaza kuwa, litafanya mazoezi ya kulenga shabaha kwa bunduki kwenye eneo la bahari karibu na kisiwa cha Yanping siku moja kati ya tarehe 18 hadi tarehe 21. Jeshi la Korea ya Kaskazini lilionya kuwa, kama Korea ya Kusini itafanya mazoezi hayo, basi Korea ya Kaskazini itajibu mashambulizi kwa ajili ya kujihami, ambayo yatakuwa makubwa kuliko safari iliyopita.
Baada ya majadiliano hayo yaliyoitishwa na Russia, huenda mkutano rasmi ukafanyika.
Jeshi la Korea ya Kusini tarehe 16 lilitangaza kuwa, litafanya mazoezi ya kulenga shabaha kwa bunduki kwenye eneo la bahari karibu na kisiwa cha Yanping siku moja kati ya tarehe 18 hadi tarehe 21. Jeshi la Korea ya Kaskazini lilionya kuwa, kama Korea ya Kusini itafanya mazoezi hayo, basi Korea ya Kaskazini itajibu mashambulizi kwa ajili ya kujihami, ambayo yatakuwa makubwa kuliko safari iliyopita.
0 comments:
Post a Comment