Taarifa hiyo ilisema, Bw. Ban Ki-moon alishtushwa na shambulizi hilo la kigaidi lililotokea katika kituo cha ugavi wa chakula cha Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa, kilichopo katika sehemu ya Bajaur, na kulaani vikali kitendo hicho cha kigaidi dhidi ya raia. Pia Bw. Ban Ki-moon alitoa salamu za rambirambi kwa ndugu wa watu waliouawa kwenye shambulizi hilo.
Ban Ki-moon alaani vikali shambulizi la bomu la kujiua nchini Pakistan
Taarifa hiyo ilisema, Bw. Ban Ki-moon alishtushwa na shambulizi hilo la kigaidi lililotokea katika kituo cha ugavi wa chakula cha Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa, kilichopo katika sehemu ya Bajaur, na kulaani vikali kitendo hicho cha kigaidi dhidi ya raia. Pia Bw. Ban Ki-moon alitoa salamu za rambirambi kwa ndugu wa watu waliouawa kwenye shambulizi hilo.
0 comments:
Post a Comment