Searching...
Tuesday, December 28, 2010

Afrika Kusini yawa mwanachama rasmi wa utaratibu wa ushirikiano wa nchi zenye jipya

Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China bibi Jiang Yu tarehe 28 hapa Beijing alisema, China ikiwa mwenyekiti wa zamu wa utaratibu wa ushirikiano wa nchi nne za Russia, India, Brazil na China imejadili na nchi wenzake ambapo hivi karibuni zimeikubali Afrika Kusini kuwa mwanachama rasmi.
Bibi Jiang Yu amesema rais Hu Jintao wa China amemwandikia barua rais Jacob Zuma wa Afrika kusini, na kumwalika kuhudhuria mkutano wa tatu wa viongozi wa nchi hizo utakaofanyika mwaka kesho hapa China. China ina imani kuwa kushirki kwa Afrika Kusini kutasaidia maendeleo ya utaratibu huo, pia kutahimiza ushirikiano kati ya nchi zenye soko linalokua.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!