Searching...
Thursday, May 27, 2010

SHEREHE ZILIZOFANYIKA KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA SIKU YA AFRIKA

Keki inayowakilisha ramani ya afrika kama inavyoonekana Princess lummy akiwakilisha moja watu kutoka afrika sherehe hizo zilifanyika huko New York,USA mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw.Ban Ki Moon.

Bw.Ban Ki Moon akihutubia katika sherehe hizo
Hapa mabalozi wakiwa na wake zao katika sherehe hizo na Mama Lummy hakukosekana

Princess Lummy wa kati akiwa na Balozi kutoka nchini Ethiopia akiwa na mkewe pembeni kabisa
Princess Lummy kama kawaida yake akiwa katika viwanja vyake huyu anasifika sana kwenye kutunga mashairi nafikir anataka kumkamata Mrisho mpoto
Princess Lummy akiwakilisha Uafrika wake mpaka kwenye mapambo yake ya mwilini
Ngoma ya asili ya kinigeria nayo ilikuwa ni moja ya burudani katika sherehe hizo

Kutoka kushoto ni Balozi wa Nigeria Nchini Marekani kati ni Princess Lummy Mwisho kabisa Mama Lummy

1 comments:

Anonymous said...

wow thus awesome

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!