Zaidi ya watu 70 wamejeruhiwa katika mlilipuko iliyotokea kwenye soko la Bakara.

Ndugu wakimbeba mwenzao aliyejeruhiwa kwenye mlipuko Mei mosi 2010.
Ripoti moja iliyotolewa imesema kiongozi mmoja mwandamizi wa wapigananji wa al-Shabab ndiye aliyelengwa. Fuad Mohammed Khalaf, anayejulikana kama Fuad Shongole, ametajwa kujeruhiwa.
Wapigananji hao wenye ushirikiano wa karibu na al-Qaeda, wanapewa sifa ya kuweza kuweka amani na utulivu katika maeneo waliyoyadhibiti Somalia.
Shambulio hilo lililotokea karibu na msikiti wa Abdallah Shideye limefanyika wakati wa swala.


0 comments:
Post a Comment