Searching...
Thursday, November 13, 2014

ANGALIA MOYES ALIVYOPOKELEWA HISPANIA KATIKA KAZI YAKE MPYA

 Kocha David Moyes amewasili kwenye Uwanja wa San Sebastian ambao ni uwanja wa nyumbani wa Real Sociedad.

Kocha huyo wa zamani wa Manchester United anatarajia kusaini miezi 18 na kikosi hicho kinachoshiriki La Liga.
Moyes aliwaona wachezaji wakijifua na anatarajia kutambulishwa rasmi kesho Alhamisi.


0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!