Searching...
Friday, October 3, 2014

RONALDO, MESSI WAONGOZA KIKOSI BORA CHA MWEZI LA LIGA

Kikosi bora cha mwezi Septemba katika timu zinazoshiriki Ligi ya Hispania maarufu kama La Liga, kimetangazwa.

Timu zilizotoa wachezaji katika kikosi hicho ni pamoja na Barcelona, Real Madrid, Atletico Madrid, Valencia na Celta Vigo.
Kipa Claudio Bravo amepata kura 37.5% na kuwapiku Iker Casillas na wengine.
Mabeki ni hivi; Juanfran (10.7%), Miranda (20.3%), Nicolás Otamendi (11.6%) na José Gayá (13.3%).
Viungo ni Ivan Rakitic (20.7%) na Luka Modric (14.5%) wakisaidiana na Arda Turan (11.4%) na Fabián Orellana (9.6%).
Wakati safu ya ushambuliaji inaongozwa na wababe wawili duniani Leo Messi (19.2%) na Cristiano Ronaldo (33.1%).

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!