Searching...
Monday, October 6, 2014

LOUIS VAN GAAL AZUA BALAA BAADA YA KUSHINDWA KUANDIKA VIZURI JINA LA FELLAINI KATIKA ORODHA YA WACHEZAJI WAKE WA LEO DHIDI YA EVERTON

Kuna dalili nyingi zinazoweza kuonyesha kama mtu anakutambua ama hakutambui. Hii imedhihirika leo baada ya kocha wa Machester United, Louis Van Gaal kuandika vibaya jina la kiungo wa timu hiyo Marouane Fellaini kwenye karatasi ya majina ya wachezaji waliocheza leo dhidi ya Everton.


View image on Twitter
Hahaaaa.....!!!!! eti Marounne Fellaini badala ya Marouane Fellaini, kweli LVG amemchoka huyu jamaa

Fellaini alikuwa nje ya dimba tangu ligi imeanza kwa sababu ya majuruhi yaliyokuwa yakimsumbua, lakini leo alikuwa miongoni mwa wachezaji waliowakabili Everton dimbani Old Trafford ambapo Man U waliibuka na ushindi wa magoli 2-1.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!