Searching...
Friday, August 22, 2014

STRAIKA LA NAPOLI LATUA QPR, MWAKA HUU ENGLAND KAZI IPO

KLABU ya QPR imeimarisha safu yake ya ushambuliaji kwa kumsajili mshambuliaji wa Napoli, Eduardo Vargas kwa mkopo wa muda mrefu.
Habari hizi ni njema kwa kocha Harry Redknapp ambaye alikuwa ana washambuliaji watatu tu kikosini kabla ya uhamisho huu. 
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 mzunguko wa pili wa msimu uliopita alicheza kwa mkopo La Liga katika klabu ya Valencia, ambako alifunga mabao matano katika mechi 25.

Dili limetiki: QPR imemsajili Eduardo Vargas kwa mkopo wa muda mrefu kutoka Napoli

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!