Searching...
Friday, August 22, 2014

MANCHESTER UNITED YAPAMBANA 'KUFA KUPONA' KUWANASA DI MARIA, SAMI KHEDIRA

Pair of aces: Angel Di Maria (left) and Sami Khedira are both on Manchester United's radar
Wote kwenye rada: Angel Di Maria (kushoto) na Sami Khedira wanatakiwa na Manchester United.

MANCHESTER United bado wanapambana kuhakikisha wanawasajili nyota wawili wa Real Madrid, Muargentina, Angel di Maria na Mjerumani Sami Khedira.
Habari njema kwa mashabiki wa United ni kwamba makamu mwenyekiti wa klabu hiyo, Ed Woodward anapigana kuwasajili wachezaji hao kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.
Kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti alisema jumanne kuwa Di Maria na Khedira wanaweza kuondoka.
Di Maria amekuwa katika rada za Louis Van Gaal kwa majira yote ya kiangazi wakati Khedira alimuona wakati anafundisha soka nchini Ujerumani.
Wanted: Di Maria remains a top target for Louis van Gaal and Manchester United this summer
Anawindwa: Di Maria ndiye chaguo namba moja la Louis van Gaal na Manchester United majira haya ya kiangazi.
Open offer: Carlo Ancelotti says ¿if Di Maria doesn¿t find a solution for his future, we would welcome him back'
Milango wazi: Carlo Ancelotti alisema 'kama Di Maria hatapata suluhisho la hatima yake ya baadaye, kwa furaha tutapenda kumkaribisha tena.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!