Searching...
Wednesday, July 30, 2014

RONALDO ATULIA 'TULIII' BENCHI REAL IKIPIGWA KIDUDE NA ROMA

MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo aliishuhudia timu yake Real Madrid ikifungwa 1-0 na Roma akiwa bench katika mchezo wa mwisho wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa kuamkia leo nchini Marekani.
Bao pekee la Francesco Totti dakika ya 58 mjini Texas lilitosha kuiangusha timu ya Carlo Ancelotti ambayo ilicheza bila mshambuliaji.
Mechi hiyo ilikumbwa na vitimbi mwishoni baada ya mashabiki kuvamia uwanja kwenda kuwakumbatia na kupiga nao picha wachezaji wawapendao.
Benchi: Cristiano Ronaldo alikuwa benchi Real Madrid ikimenyana na Roma Wing wizard: Gareth Bale was unable to prevent his side losing to the Italians
Winga wa Real, Gareth Bale akitafuta mbinu za kumpokonya mpira mpinzaniInvasion: A fan that made it onto the field takes a selfie with Real Madrid's Isco
Shabiki akijipiga picha na nyota wa Real Madrid, Isco Game over: A fan is detained by a police officer after running on the field during Roma's win
Polisi akimdhibiti mmoja wa mashabiki waliovamia uwanjaWinner: Francesco Totti scored the only goal of the game in the second half
Francesco Totti akifunga bao pekee la ushindi

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!