Searching...
Wednesday, July 23, 2014

BOJAN AMKIMBIA SUAREZ BARCELONA, AJITIA KITANZI MIAKA MINNE STOKE CITY

KOCHA wa Stoke City, Mark Hughes amekamilisha usajili wa mchezaji wa tano kuelekea msimu ujao, baada ya kumsaini mshambuliaji wa Barcelona, Bojan Krkic kwa mkataba wa miaka minne.
Bojan – ambaye awali alimvutia Hughes alipokuwa kocha wa Manchester City miaka mitano iliyopita– amekamilisha uhamisho wake kutua The Potteries leo mchana baada ya kukiri kusajiliwa kwa Luis Suarez Nou Camp kunazidi kupunguza nafasi yake ya kucheza La Liga.
Taarifa katika akaunti ya Twitter ya Stoke imesema: 'HolaBojan Stoke City inayo furaha kuthibitisha usajili @BoKrkic kutoka @FCBarcelona kwa mkataba wa miaka 4'.

Krkic (kulia) angesotea namba kama angebaki Barcelona 

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!