Searching...
Sunday, May 11, 2014

EVANS EVAVE AJITOSA KUWANIA URAIS SIMBA SC

IMG-20140511-WA0015UCHAGUZI wa klabu ya Simba sc unazidi kushika kasi na leo hii Evans Eveva amechukua fomu ya kugombea urais wa klabu hiyo katika uchaguzi wa juni 29 mwaka huu.
Mamia ya wanachama wa Simba waliamua kumsindikiza Eveva kuchukua fomu na hii inadhihirisha mapenzi makubwa waliyonayo kwa mwanachama huyu damu wa Simba.
Eveva ameisaidia Simba kwa zaidi ya miaka 20 japokuwa hajawahi kuwa kiongozi wa kuchaguliwa.
Amewahi kuongoza kamati kadhaa za Simba ikiwemo usajili miaka ya 2000 ambapo alifanya kazi nzuri.
Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi huo, Damas Ndumbaro alisema kamati yake haitakuwa na huruma kwa yeyote atakayeenda kinyuma na kanuni.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!