
Wakati huo huo imethibitishwa kwamba Ryan Giggs na Nicky Butt wataiongoza timu hiyo katika michezo minne iliyobakia.
Hata hivyo mpaka sasa majina ya kocha Uholanzi Louis Van Gaal, wa Borussia Dortmund Jurgen Klopp, Atletico Madrid’s manager Diego Simeone na Ryan Giggs wanatajwa kuewa nafasi ya kuifundisha timu hiyo kuanzia msimu ujao.
0 comments:
Post a Comment