Searching...
Saturday, April 26, 2014

MWEHU' BALOTELLI AMUWAKIA SEEDORF KWA KUMTOA NJE AC MILAN IKIPIGWA 2-0

AS Roma imeendelea vyema katika mbio za ubingwa baada ya kuilaza AC Milan mabao 2-0 jana.
Shukrani kwao wafungaji wa mabao hayo, Miralem Pjanic na Gervinho siku ambayo mshambuliaji wa AC Milan, Mario Balotelli alimuwakia kocha wake, Clarence Seedorf kwa kumtoa nje.
Matokeo hayo yanapunguza pengo la pointi kati ya Roma inayoshika nafasi ya pili na Juventus iliyo kileleni hadi kubaki pointi tano kabla ya vinara hao wa Serie A kucheza na Sassuolo Jumatatu. 
Hana furaha: Mario Balotelli akimuwakia kocha wa Milan, Clarence Seedorf kwa kumtoa nje jana

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!