Searching...
Monday, April 28, 2014

LUIS SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND, HAZARD NAYE ANG'ARA

WANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND

Mchezaji Bora wa Mwaka: Luis Suarez (Liverpool).
Mchezaji Bora Chipukizi wa mwaka: Eden Hazard (Chelsea).
Mchezaji Bora wa kike wa Mwaka: Lucy Bronze (Liverpool Ladies).
Mchezaji Bora chipukizi wanawake: Martha Harris (Liverpool Ladies).
MSHAMBULIAJI Luis Suarez ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka Chama cha Wachezaji wa Kulipwa England jana baada ya kufunga mabao 30 msimu huu wa Ligi Kuu na kuisaidia timu yake, Liverpool kuongoza mbio za ubingwa.
Wazi tuzo hiyo inakuja kupoza machungu ya mchezaji huyo anayevalia jezi namba saba baada ya misimu iliyopita kufungiwa kwa kumkashifu Patrice Evra mwaka 2011 na kusababisha mzozo mkubwa msimu uliopita alipofungiwa mechi 10 kwa kumng'ata beki wa Chelsea, Branislav Ivanovic.
Akiwa amekosa mwezi wa kwanza wa msimu huu akitumikia adhabu hiyo, Suarez alirejea Liverpool mwishoni mwa September nmwaka jana na kuunda pacha kali la ushambuliaji kwa pamoja na Daniel Sturridge.
Wote wanatabasamu: Suarez akiwa amepeozi na Eden Hazard wa Chelsea, ambaye ameshinda tuzo ya mwanasoka bora chipukizi wa mwaka
Well-deserved: Liverpool striker Luis Suarez scooped the PFA Player of the Year award on Sunday night
Well-deserved: Liverpool striker Luis Suarez scooped the PFA Player of the Year award on Sunday night
Alistahili kabisa: Mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez alistahili tuzo hiyo ya PFA

WASHINDI WA AWALI WA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND

1973–74     Norman Hunter     Leeds United        
1974–75     Colin Todd     Derby County        
1975–76     Pat Jennings     Tottenham Hotspur
1976–77     Andy Gray     Aston Villa
1977–78     Peter Shilton     Nottingham Forest 
1978–79     Liam Brady     Arsenal
1979–80     Liverpool     FWA
1980–81     John Wark     Ipswich Town        
1981–82     Kevin Keegan     Southampton        
1982–83     Kenny Dalglish     Liverpool
1983–84     Ian Rush     Liverpool    
1984–85     Peter Reid     Everton        
1985–86     Gary Lineker     Everton    
1986–87     Clive Allen     Tottenham Hotspur
1987–88     John Barnes     Liverpool    
1988–89     Mark Hughes     Man United   
1989–90     David Platt     Aston Villa        
1990–91     Mark Hughes     Man United    
1991–92     Gary Pallister     Man United  
1992–93     Paul McGrath     Aston Villa        
1993–94     Eric Cantona     Man United   
1994–95     Alan Shearer     Blackburn Rovers     
1995–96     Les Ferdinand     Newcastle United   
1996–97     Alan Shearer     Newcastle United      
1997–98     Dennis Bergkamp Arsenal    
1998–99     David Ginola     Tottenham Hotspur    
1999–2000     Roy Keane     Man United    
2000–01     Teddy Sheringham     Man United    
2001–02     Ruud van Nistelrooy     Man United    
2002–03     Thierry Henry     Arsenal    
2003–04     Thierry Henry     Arsenal
2004–05     John Terry     Chelsea        
2005–06     Steven Gerrard     Liverpool        
2006–07     Cristiano Ronaldo     Man United
2007–08     Cristiano Ronaldo     Man United
2008–09     Ryan Giggs     Man United
2009–10     Wayne Rooney     Man United    
2010–11     Gareth Bale     Tottenham Hotspur     
2011–12     Robin van Persie     Arsenal
2012–13     Gareth Bale     Tottenham Hotspur
Double delight: Gareth Bale won both the Player of the Year and Young Player of the Year awards on Sunday
Tuzo mbili: Gareth Bale alishinda tuzo zote, Mwanasoka Bora chipukizi na Mwanasoka Bora England mwaka jana

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!