Searching...
Thursday, March 20, 2014

REAL MADRID HAWAJAPOTEZA MECHI KATIKA KIPINDI CHA MIEZI 5 ILIYOPITA - JE BARCA WATAIVUNA REKODI HIYO KWENYE EL CLASSICO WIKIENDI HII?

Real Madrid C.F. hawajapoteza mechi hata moja katika kipindi cha miezi 5 iliyopita - FC Barcelona ndio timu ya mwisho kuifunga Real Madrid. Wiki hii timu hizo zinakutana katika El Classico - unadhani Barca wataivunja rekodi ya kutokufungwa kwa Real Madrid?

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!