REAL MADRID HAWAJAPOTEZA MECHI KATIKA KIPINDI CHA MIEZI 5 ILIYOPITA - JE BARCA WATAIVUNA REKODI HIYO KWENYE EL CLASSICO WIKIENDI HII?
Home
»
Unlabelled
» REAL MADRID HAWAJAPOTEZA MECHI KATIKA KIPINDI CHA MIEZI 5 ILIYOPITA - JE BARCA WATAIVUNA REKODI HIYO KWENYE EL CLASSICO WIKIENDI HII?
Real Madrid C.F.
hawajapoteza mechi hata moja katika kipindi cha miezi 5 iliyopita - FC
Barcelona ndio timu ya mwisho kuifunga Real Madrid. Wiki hii timu hizo
zinakutana katika El Classico - unadhani Barca wataivunja rekodi ya
kutokufungwa kwa Real Madrid?
0 comments:
Post a Comment